• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

Kilimo na Ushirika

Ilianza mwaka 2013 baada ya kutenganisha idara mama ya kilimo na mifugo.

Mkuu wa idara ni George S. Kessy , mwenye taaluma ya Afisa Ushirika akiwa ni Afisa Ushirika Mkuu Daraja la 1.

Idara ina jumla ya watumishi 59 .Kati yao, 2 ni maafisa ushirika, watumishi 4 ni maafisa kilimo (wenye shahada), waliobaki 53 ni maafisa kilimo wasaidizi (wenye stashahada na astashahada).

Halmshauri ya wilaya ya Kishapu ina jumla ya kata 29 zenye jumla ya vijiji 117. Kata zote 29 zimepangiwa wataalamu (maafisa kilimo wa kata) ikiwa ni mmoja kwa kila kata. Aidha ni vijiji 24 tu zenye wataalamu wa kilimo , kila kijiji mtaalamu mmoja. Vijiji vinavyobaki (93) havina wataalamu .

MAJUKUMU

-Kutoa elimu ya kilimo bora kwa wakulima ili kuwezesha wakulima kuongeza tija katika uzalishaji .

-Kusimamia miradi ya kilimo

-kutoa elimu ya hifadhi bora ya mazao ili kuzuia upotevu na hivyo kupunguza hasara inayotokana na upotevu na uharibifu wa mazao.

-Kutathimini visumbufu vya mazao na kutoa taarifa kwa taasisi zinazoshughulika na udhibiti wa visumbufu vya mazao.

-Kuratibu na kusaidia upatikanaji wa pembejeo (mbegu bora, mbolea na viuatilifu) kwa wakulima .

-Kushirikiana na jamii katika kuandaa miradi ya kilimo ambayo inatokana na hitaji la wakulima wenyewe.

-Kukusanya taarifa za hali ya hewa na kuziwasilisha kwa wakulima kwa ajili ya kujiandaa na kalenda ya kilimo msimu unaofuata.

-Kutoa ushauri kwa wakulima juu ya kilimo cha mazao yanayostahimili ukame kwa vile wastani wa mvua katika wilaya hii ni kati ya 450mm hadi 950mm kwa mwaka , wastani ambao ni kidogo sana na haufai kwa kulima mazao yanayohitaji maji mengi na muda mrefu kukomaa.

-Kueneza teknolojia mpya ya kilimo kama vile mbegu bora, mbegu kinzani na magonjwa na wadudu,kutumia zana au nyenzo bora za kilimo.

-Kuandaa na kutoa taarifa ya utekelezaji wa shughuli za kilimo kwa baraza la madiwani na kamati za kudumu za Halmashauri ya wilaya ya Kishapu.

-Kutoa mafunzo kwa wakulima kuhusu matumizi sahihi ya teknolojia mpya.

HUDUMA ZA JAMII.

-Kufanya tathimini ya hali ya chakula (usalama wa chakula)

-Kutoa elimu ya hifadhi na matumizi bora ya chakula kwa wakulima.

-Kutoa mafunzo kwa wakulima.

MATARAJIO

Idara inatarajia kuona wakulima wanaolima kitaalamu ,wanaotumia pembejeo na zana bora za kilimo katika kuzalisha na kuwa na kilimo cha  kibiashara na uchumi wa viwanda (Agro-industries)

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • REDESO NA CARE INTERNATIONAL WAWEZESHA WAKULIMA WADOGO KISHAPU KUPITIA MRADI WA UFUGAJI WA KUKU NA ZAO LA MKONGE

    May 30, 2025
  • MBUNGE BUTONDO ATOA VIFAA VYA TEHAMA KUUNGA MKONO SEKTA YA ELIMU KISHAPU

    May 26, 2025
  • CPA. MAKALA AIPONGEZA SERIKALI MAENDELEO KISHAPU – BUTONDO AOMBA DED ASIONDOLEWE

    May 23, 2025
  • DC KISHAPU AWAONYA WAVURUGA AMANI KATA YA MWASUBI NA BUNAMBIYU

    May 16, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa