• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

Kilimo na Ushirika

Idara ya Kilimo ilianza mwaka 2013 baada ya kutenganisha idara mama ya kilimo na mifugo.


MAJUKUMU YA IDARA YA KILIMO.

-Kutoa elimu ya kilimo bora kwa wakulima ili kuwezesha wakulima kuongeza tija katika uzalishaji .

-Kusimamia miradi ya kilimo

-kutoa elimu ya hifadhi bora ya mazao ili kuzuia upotevu na hivyo kupunguza hasara inayotokana na upotevu na uharibifu wa mazao.

-Kutathimini visumbufu vya mazao na kutoa taarifa kwa taasisi zinazoshughulika na udhibiti wa visumbufu vya mazao.

-Kuratibu na kusaidia upatikanaji wa pembejeo (mbegu bora, mbolea na viuatilifu) kwa wakulima .

-Kushirikiana na jamii katika kuandaa miradi ya kilimo ambayo inatokana na hitaji la wakulima wenyewe.

-Kukusanya taarifa za hali ya hewa na kuziwasilisha kwa wakulima kwa ajili ya kujiandaa na kalenda ya kilimo msimu unaofuata.

-Kutoa ushauri kwa wakulima juu ya kilimo cha mazao yanayostahimili ukame kwa vile wastani wa mvua katika wilaya hii ni kati ya 450mm hadi 950mm kwa mwaka , wastani ambao ni kidogo sana na haufai kwa kulima mazao yanayohitaji maji mengi na muda mrefu kukomaa.

-Kueneza teknolojia mpya ya kilimo kama vile mbegu bora, mbegu kinzani na magonjwa na wadudu,kutumia zana au nyenzo bora za kilimo.

-Kuandaa na kutoa taarifa ya utekelezaji wa shughuli za kilimo kwa baraza la madiwani na kamati za kudumu za Halmashauri ya wilaya ya Kishapu.

-Kutoa mafunzo kwa wakulima kuhusu matumizi sahihi ya teknolojia mpya.


HUDUMA ZA KIJAMII.

-Kufanya tathimini ya hali ya chakula (usalama wa chakula)

-Kutoa elimu ya hifadhi na matumizi bora ya chakula kwa wakulima.

-Kutoa mafunzo kwa wakulima.


Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WAMTEUA MWENYEKITI MPYA HALMASHAURI YA WILAYA KISHAPU

    December 03, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    November 21, 2025
  • WATUMISHI KISHAPU WAPEWA MAFUNZO YA ELIMU YA FEDHA NA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

    November 20, 2025
  • DC,DED NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA KISHAPU WAUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA

    October 29, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa