UTANGULIZI
Idara ya Afya inatekeleza majukumu yake kwa kufuata miongozo inayotolewa na Wizara ya afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu ina hospitali mbili ya wilaya (DK. Jakaya Kikwete) na Mwadui inayomilikiwa na mgodi. Pia ina vituo vya afya vinne (4) na zahanati 53.
Idara imelenga kutoa matibabu kwa gharama nafuu kwa wananchi wa Kishapu na wilaya jirani.
MAJUKUMU YA IDARA
Halmashauri ya Wilaya Kishapu
Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU
Simu ya mezani: +255282770020
Simu:
Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz
Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa