Idara ya Utawala inashughulikia masuala ya Utawala, utumishi na Rasilimali watu.
ifuatazo ni taarifa ya watumishi kama inavyoonekana katika majedwali yafuatayo:-
Jedwali 65: Idadi ya Idara na Vitengo na hali ya ujazwaji
Idadi ya Idara
|
Mahitaji ya wakuu wa Idara
|
Waliopo
|
Pungufu
|
Mkakati wa kujaza
|
19
|
19
|
15
|
4
|
Kitengo cha Ugavi na Ukaguzi wa ndani tayari tumepata idhini ya kuwateua na kwamba kitabaki kitengo cha Nyuki na Idara ya Mipango utaratibu unaendelea
|
Jedwali 66: Idadi ya Watumishi wa Halmashauri kwa Idara zote na upungufu.
Mahitaji
|
Waliopo
|
Pungufu
|
Mkakati
|
2,933
|
2197
|
736
|
Tunaombea vibali mbadala
Tunaombea kila msimu wa Bajeti nafasi mpya. |
NB: Upungufu wa watumishi uliotajwa hapo juu ni mdogo kuliko upungufu wa watumishi ulioinishwa Kisekta kwa sababu Afisa Utumishi ameonesha mahitaji kwa mujibu wa ikama ya watumishi anayoombea kibali cha ajira katika Mpango na Bajeti ya Mwaka 2017/2018.
Jedwali 67: Idadi ya watumishi wanaodai madeni mbalimbali nje ya mfumo wa malipo na madeni yaliyokaguliwa yanasubili kulipwa.
Idadi ya watumishi waliowasilisha maombi
|
Kiasi kilichoombwa
|
Idadi ya watumishi waliokubaliwa maombi
|
Kiasi kilichokubaliwa
|
110
|
216,880,380
|
97
|
153,698,380
|
Halmashauri inaomba mamlaka za juu kuharakisha ulipwaji wa madeni ya watumishi ili kuongeza motisha ya kazi.
Halmashauri ya Wilaya Kishapu
Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU
Simu ya mezani: +255282770020
Simu:
Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz
Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa