Kitengo kinatekeleza majukumu yake kwa kushirikiana na Kamati ya Ukaguzi.Kina majukumu mbalimbali yakiwemo;
Kukagua na kutoa ushauri sahihi ili kuboresha utawala bora.
Kufanya ufuatiliaji, ukaguzi na usimamizi wa fedha zote za halmashauri zinakusanywa kwa kutumia mifumo ya kieletroniki.
Kufanya ukaguzi wa matumizi ya fedha zote za halmashauri na kuandaa taarifa kwa Afisa Masuuli.
Kufanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na mali za Halmashauri na kuhakiki uwepo wa thamani ya fedha.
Kuhakikisha malengo ya halmashari yanafikiwa na kuwa na uwajibikaji.
Kuhakikisha kuwa sheria, kanuni na taratibu za fedha za serikali zinafuatwa kama zilivyoainishwa kwenye sheria mbalimbali za Serikali.
Halmashauri ya Wilaya Kishapu
Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU
Simu ya mezani: +255282770020
Simu:
Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz
Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa