• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

Kamati za kudumu Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

Kamati za kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu ziko tatu (3) ambazo ni;

i) Kamati ya Fedha, Mipango na Utawala.

ii) Kamati ya Afya, Elimu na Maji.

iii) Kamati ya Mazingira, Uchumi na Ujenzi.


1. Majukumu ya kamati ya Fedha, Mipango na Utawala ni;

  - Kuweka mikakati ya kuongeza mapato na kupendekeza njia za kuongeza mapato ya Halmashauri.

 - Kuwasilisha mapendekezo ya bajeti na mpango wa maendeleo kwa Halmashauri.

 - Kufuta madeni na kuomba vibali maalum kwa matumizi yanayoitaji idhini ya waziri mwenye dhamana ya Serikali za mitaa.

- Kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha na uhakiki wa mali za Halmashauri.


2. Majukumu ya kamati ya Afya, Elimu na Maji. (Huduma za kijamii) ni;

 - Kuandaa mipango ya ujenzi na upanuzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati.

- Kusimamia utekelezaji wa huduma za Afya ya msingi na kampeni za afya ya jamii

- Kuandaa mipango ya ujenzi na upanuzi wa shule za awali, msingi na sekondari.

- Kupendekeza miradi ya kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia.

- Kupanga na kusimamia miradi ya upatikanaji wa maji safi na salama vijijini na mijini.


3. Majukumu ya kamati ya Mazingira, Uchumi na Ujenzi ni;

 - Kupanga na kupendekeza mipango ya kupanua biashara na kuongeza mapato ya Halmashauri.

- Kupendekeza na kusimamia miradi ya ujenzi wa barabara, majengo ya umma na miundombinu mingine.

- Kupendekeza mipango ya matumizi ya ardhi katika eneo la halmashauri.

- Kupendekeza mikakati ya kupunguza athari za uharibifu wa mazingira.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI December 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • RC MHITA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KISHAPU.

    January 10, 2026
  • RC MHITA AWATAKA MADIWANI KISHAPU KUDUMISHA USHIRIKIANO NA MSHIKAMANO - NGUZO KUFANIKISHA MIPANGO YA MAENDELEO.

    December 19, 2025
  • DED JOHNSON ATOA MAELEKEZO MUHIMU KWA MADEREVA

    December 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WAMTEUA MWENYEKITI MPYA HALMASHAURI YA WILAYA KISHAPU

    December 03, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa