• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Social Services
    • Huduma za Kiuchumi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
      • Mpango Mkakati
    • Fomu za matangazo
    • Sheria
    • Hotuba
    • Tenda
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Makala
    • Taarifa kwa vyombo vya habari

DC Kishapu: Wataalamu, madiwani timizeni wajibu wenu

Posted on: September 15th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mhe. Nyabaganga Taraba amewataka wataalamu kila mmoja atimze wajibu wake katika kuongeza  nguvu katika ukusanyaji mapato ili kufikia malengo ya kutekeleza miradi ya maendeleo.

Mhe. Taraba ametoa mwito huo Septemba 14, 2018 wakati akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu.

Alisema kuwa ili tuweze kupata mapato ya kutosha ni lazima kila mmoja atimize wajibu wake mahali pake kuanzia watendaji hadi madiwani na wananchi kwa ujumla.

“Sisi hatuna viwanda vikubwa wala masoko lakini tukisimamia vizuri katika vyanzo vya mapato yetu madogo madogo tutapata mapato ya kutosha na hatimaye miradi yetu ya maendeleo tutaijenga,” alisema Mhe Taraba.

Aidha, kwa upande mwingine alisema katika msimu huu mpya wa uzalishaji tunapaswa kujipanga na kurekebisha changamoto zilizokuwepo mwaka jana na kuzalisha zaidi.

Mkuu huyo wa wilaya alifafanua kuwa endapo watazalisha zaidi wataweza kumaliza changamoto hizo ndogondogo pamoja na kukusanya mapato kwa kiasi kikubwa.

Aliwataka viongozi kuhakikisha wakulima wanachangamkia matrekta ya mkopo kutoka serikalini ili kuweza kupata mavuno mengi zaidi na hivyo Serikali kupata mapato ya kutosha.  

Matangazo

  • Tangazo la kazi kada ya Afya December 12, 2018
  • Majina ya walioitwa kwenye usaili nafasi ya watendaji May 10, 2018
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • Hospitali ya Wilaya ya Kishapu kupata 'ambulance'

    February 13, 2019
  • Balozi Seif ashusha neema Hospitali ya Wilaya Kishapu

    February 12, 2019
  • Kishapu yagawa vitambulusho kwa wajasiriamali

    January 15, 2019
  • Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar afanya ziara Kishapu

    December 27, 2018
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu:

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

Idadi ya wasomaji

MasterThesis

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa