• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

Maji

Vyanzo vikuu vya maji kwa wananchi wa wilaya ya Kishapu ni visima vifupi, Virefu, mabwawa na miradi michache ya maji ya bomba. Mahitaji halisi ya maji kwa sasa ni mita za ujazo 15,303 kwa siku, lakini kiasi cha mita za ujazo 7,860.7.

Kwa kuzingatia lengo la Taifa la kuwafikishia wananchi wa vijiji asilimia 90 maji safi na salama ndani ya umbali wa mita 400 ya makazi yao ifikapo 2020, kwa sasa wakazi wa Wilaya ya Kishapu wananufaika na huduma hii kwa kiwango cha wasani wa asilimia 51.6% vijijini na asilimia 45% mjini.

 

 

TAKWIMU ZA MIUNDOMBINU YA MAJI

Halmashauri ya wilaya ya Kishapu kwa kushirikisha wadau wa Maendeleo, Serikali kuu na Wananchi wenyewe imeweza kupunguza tatizo la upatikanaji wa maji na Salama kama ifuatavyo:

Jedwali 58: Takwimu za Miundombinu ya maji

Mwaka

Malambo/Mabwawa

Visima

Skimu ya Maji ya Bomba na windmill

Matanki ya Maji ya Mvua

% ya Wanufaika

Virefu
Vifupi
2013/2014

20

8

245

14

118

49

2014/2015

23

10

248

17

120

50.2

2015/2016

26

12

251

19

125

51.3

2016/2017

28

12

258

20

129

51.4

2017/2018

29

12

263

21

135

51.6

 UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA MAJI KATIKA VIJIJI  KUMI (WSDP I)

Utekelezaji wa Programu ya Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji 10 ulianza kwa mchakato wa kupata Wataalam Washauri(Consultants) ambao walihusika katika kusaidia kusanifu miradi, kufanya utafiti wa maji ya ardhini na kusimamia kuchimba visima virefu na baadaye kuanza ujenzi wa miundombinu ya maji.

Programu ya maji vijijini awamu ya I ulijenga miradi ya maji katika baadhi ya vijiji kadri fedha ilivyokuwa ikipatikana.  Vijiji vilivyopewa kipaumbele katika ujenzi wa miundombinu ya maji kupitia awamu ya kwanza ya utekelezaji wa Programu hii yaani (WSDPI) vilikuwa vijiji 9 ambavyo ni Nyenze, Iboja, Sekeididi, Mwigumbi, Mwamashimba, Bubinza, Mwamadulu, Idukilo na Bunambiyu. Jumla ya Tsh 3,471,700,912/= zimetumika kutekeleza miradi ya maji awamu ya kwanza kuanzia hatua ya usanifu mpaka ujenzi wa miundombinu ya Maji. Kwa pamoja Miradi hii inahudumia watu wapatao 24,750

Katika Mpango na Bajeti ya mwaka wa fedha 2017/2018 Halmshauri iliidhinishiwa kiasi cha Tsh. 1,597,855,000/= kwa ajili ya kutekeleza miradi ya Maji na Usafi wa Mazingira.

Hadi kufikia Mwezi Novemba 2017, Halmashauri imeshapokea jumla Tsh. 26,000,000/= ambazo ni kwa ajili ya usanifu, usimamizi na ufuatiliaji wa miradi.

Mhe, Naibu Waziri, utekelezaji wa programu ya sekta ya maji awamu ya pili (WSDP II), umeanza katika mwaka huu wa fedha 2017/2018 kwa kuhusisha jumla ya miradi 5 katika vijiji vya Shagihilu, Ndoleleji, Lagana, Ikonongo na Unyanyembe, wakandarasi wako eneo la kazi (site) wakiendelea na ujenzi ambao uko katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Ujenzi huu utagharimu zaidi ya Tsh. 1,500,000,000/=.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • REDESO NA CARE INTERNATIONAL WAWEZESHA WAKULIMA WADOGO KISHAPU KUPITIA MRADI WA UFUGAJI WA KUKU NA ZAO LA MKONGE

    May 30, 2025
  • MBUNGE BUTONDO ATOA VIFAA VYA TEHAMA KUUNGA MKONO SEKTA YA ELIMU KISHAPU

    May 26, 2025
  • CPA. MAKALA AIPONGEZA SERIKALI MAENDELEO KISHAPU – BUTONDO AOMBA DED ASIONDOLEWE

    May 23, 2025
  • DC KISHAPU AWAONYA WAVURUGA AMANI KATA YA MWASUBI NA BUNAMBIYU

    May 16, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa