UTANGULIZI.
Idara ya Fedha inasimamia ukusanyaji wa mapato na matumizi ya fedha katika Halmashauri na kutoa ushauri wa namna bora ya matumizi ya fedha.
Pia ina kazi ya kuwasilisha taratibu za kifedha kwenye kamati ya fedha kwa ajili ya mapitio kuhakikisha kunakuwa na udhibiti wa kutosha wa mali za Halmashauri pamoja na fedha, hii ikiwa ni kuwa na mpango kazi mzuri wa wafanyakazi na utawala ndani ya idara.
MAJUKUMU YA IDARA YA FEDHA NA UHASIBU.
Halmashauri ya Wilaya Kishapu
Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU
Simu ya mezani: +255282770020
Simu: +255282770020
Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz
Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa