• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
    • Ratiba ya vikao vya kisheria vya MSM
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

BARAZA LA MADIWANI KISHAPU LAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA ZA KATA ROBO YA PILI 2025/2026

Posted on: January 27th, 2026

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Josephat Limbe akizungumza kwenye kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani cha kupokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo ya Kata kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026, kuanzia Oktoba hadi Disemba 2025 kikao kilichofanyika Januari 27,2026 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo

Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imefanya kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani kwa ajili ya kupokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo ya Kata kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026, kuanzia Oktoba hadi Disemba 2025.

Kikao hicho kimefanyika Januari 27, 2026 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, ambapo taarifa zilizowasilishwa zimegusa sekta muhimu za maendeleo na ustawi wa wananchi.

Miongoni mwa sekta zilizowasilisha taarifa ni pamoja na Afya, Barabara, Maji, Umeme, Elimu, Biashara na Viwanda, Mifugo, Utawala, Udhibiti wa Taka pamoja na Kilimo, ambapo kila sekta imeeleza mafanikio yaliyopatikana, changamoto zilizopo na mikakati ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Katibu Tawala wilayani Kishapu mkoani Shinyanga Fatma H. Mohamed akizungumza kwenye kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani cha kupokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo ya Kata kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026, kuanzia Oktoba hadi Disemba 2025 kikao kilichofanyika Januari 27,2026 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo

Kupitia Baraza hilo, Waheshimiwa Madiwani walipata fursa ya kujadili kwa kina utekelezaji wa mipango ya maendeleo katika Kata zao, kutoa maoni, ushauri na mapendekezo yatakayosaidia kuongeza ufanisi na uwajibikaji katika ngazi zote za Halmashauri.

Aidha, imeelezwa kuwa kikao cha Baraza la Madiwani kitaendelea kesho Januari 28, 2026, ambapo mijadala zaidi itaendelea pamoja na kupitishwa kwa maazimio yatakayotoa mwelekeo wa utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa kipindi kijacho.

Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Enock Reuben akizungumza kwenye kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani cha kupokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo ya Kata kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026, kuanzia Oktoba hadi Disemba 2025 kikao kilichofanyika Januari 27,2026 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Emmanuel Johnson akizungumza kwenye kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani cha kupokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo ya Kata kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026, kuanzia Oktoba hadi Disemba 2025 kikao kilichofanyika Januari 27,2026 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo


Matangazo

  • TANGAZO LA MWALIKO WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI January 20, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI December 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 21 MAKUNDI MAALUMU VYAPATIWA MIKOPO KISHAPU

    January 29, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI KISHAPU LAAZIMIA SOKO HURIA LA PAMBA, LATOA MSISITIZO WA LISHE NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 28, 2026
  • DED KISHAPU AKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KUWAWEZESHA WAALIMU WENYE CHANGAMOTO YA UONI

    January 28, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI KISHAPU LAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA ZA KATA ROBO YA PILI 2025/2026

    January 27, 2026
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa