• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
    • Ratiba ya vikao vya kisheria vya MSM
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

DC KISHAPU AKUTANA NA WADAU WA PAMBA

Posted on: May 14th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe. Peter Masindi amekutana na wadau wa zao la pamba katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa SHIRECU, kwa lengo la kujadili maandalizi ya ununuzi wa pamba kwa msimu mpya wa mwaka 2025/2026.

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga David Mashauri. 

Kikao hicho kimewakutanisha wawakilishi wa wakulima, wanunuzi, viongozi wa vyama vya msingi (AMCOS), maafisa ugani pamoja na wataalamu kutoka taasisi mbalimbali, ambapo masuala muhimu kuhusu bei ya pamba, mizani, ubora wa zao, na changamoto za ununuzi yamejadiliwa kwa kina.

Masindi amesisitiza umuhimu wa ushirikiano baina ya wadau wote ili kuhakikisha kuwa mkulima ananufaika ipasavyo na juhudi zake, huku akielekeza kuhakikisha mizani zote zinazotumika ni sahihi na zimesajiliwa rasmi.

“Serikali inataka kuona wakulima wananufaika, na hakuna sababu ya mkulima kudhulumiwa kutokana na uzito usio sahihi au ucheleweshaji wa malipo,” amesisitiza Masindi.

Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri David Mashauri amesema serikali inayompango wa dhati kuhakikisha mkulima ananufaika na makampuni ambayo hayajaomba maeneo ya kununua pamba waje kwa wingi na serikali itawapa maeneo ya uwekezaji.

Kikao hicho ni sehemu ya jitihada za Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu katika kuimarisha sekta ya kilimo na kuhakikisha kuwa zao la pamba linaendelea kuwa chanzo kikuu cha uchumi kwa wakazi wa eneo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MWALIKO WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI January 20, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI December 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA WAFANYAKAZI KISHAPU LAPITISHA MWELEKEO MPYA MASLAHI YA WATUMISHI

    February 03, 2026
  • VIKUNDI 21 MAKUNDI MAALUMU VYAPATIWA MIKOPO KISHAPU

    January 29, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI KISHAPU LAAZIMIA SOKO HURIA LA PAMBA, LATOA MSISITIZO WA LISHE NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 28, 2026
  • DED KISHAPU AKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KUWAWEZESHA WAALIMU WENYE CHANGAMOTO YA UONI

    January 28, 2026
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa