• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

DC KISHAPU AWAONYA WAVURUGA AMANI KATA YA MWASUBI NA BUNAMBIYU

Posted on: May 16th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga (wa kwanza kulia) akimkabidhi kufuri kiongozi wa Amcos ya Mwasubi Gole Mashine(wa pili kutoka kulia)kufuri la ghala la Bunambiyu watakalolitumia kwa mwaka mmoja huku wakianzisha ujenzi wa ghala kwenye Kata yao Mei,16,2025

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe. Peter amefanya mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Mwasubi, Kata ya Mwasubi wenye lengo la kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi katika huduma za kijamii.

Katika mkutano huo, uliofanyika Mei 16,2025 Mhe. Masindi amesisitiza wakazi wa Kata ya Mwasubi umuhimu wa kujenga ghala la kisasa kwa ajili ya kuhifadhi pamba ili kuongeza thamani na kuimarisha kilimo cha zao hilo muhimu katika eneo lao.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwasubi Kata ya Mwasubi Wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga Gesa Kija akifuatilia mkutano wa hadhara wa Mkuu wa  Wilaya hiyo na wananchi wa kijiji hicho wenye lengo la kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili mnamo Mei 16,2015. 

Ameeleza kuwa uwepo wa ghala hilo utasaidia wakulima kuhifadhi pamba kwa usalama, kuepuka hasara na kuongeza kipato hivyo kwa msimu 2025/2026 Mwasubi watapewa ghala moja kutoka Bunambiyu kwa ajili ya shughuli za pamba kisha wajitegee.

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe. Peter Masindi akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mwasubi Kata ya Mwasubi kwenye mkutano wa hadhara wenye lengo la kusikiliza na kutatua changamoto za kijamii zinazowakabili Mei 16 2015 Kijini humo.

Mhe. Masindi pia ametoa onyo  kwa watu wachache wanaotishia amani na utulivu katika Kata ya Mwasubi na Bunambiyu, akisema kuwa serikali haitawavumilia watu wanaochochea migogoro au vurugu.

Katika hatua nyingine, amewahimiza wananchi kuanza  ujenzi wa boma la zahanati huku akiahidi kuwa serikali itahakikisha inakamilisha ujenzi huo pindi hatua za awali zitakapokamilika.

Amesisitiza kuwa maendeleo ni jukumu la kila mwananchi na si ya serikali peke yake hivyo kwa wakulima wenye uwezo wa kifedha wanunue dawa za kuua wadudu waharibifu wa pamba badala ya kusubiri msaada wa serikali.

Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya amewakumbusha wananchi kuwa urithi wa kweli ni elimu, akisema: “Urithi wa mali mara nyingi huleta maafa, lakini elimu ni urithi wa kudumu unaomkomboa mtu.”

Amesema ushirikiano kati ya serikali na wananchi ndio njia bora ya kufanikisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Mkutano huo umetoa fursa kwa wananchi kueleza changamoto zao, huku wengi wakionesha matumaini makubwa juu ya hatua zinazochukuliwa na serikali ya Wilaya ya Kishapu.

Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Joseph Swalala (wa kwanza kushoto) na mtalamu wa kilimo na ushirika wa Halmashauri hiyo wakifuatilia mkutano wa Mkuu wa Wilaya hiyo kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wa Kijiji cha Mwasubi Kata ya Mwasubi Wilayani humo. 

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • CPA. MAKALA AIPONGEZA SERIKALI MAENDELEO KISHAPU – BUTONDO AOMBA DED ASIONDOLEWE

    May 23, 2025
  • DC KISHAPU AWAONYA WAVURUGA AMANI KATA YA MWASUBI NA BUNAMBIYU

    May 16, 2025
  • SERIKALI KUTUMIA DOLA MILIONI 77.4 KUZIWEZESHA KAYA DUNI LAKI MBILI NA ELFU 60 KILIMO NA UVUVI TANZANIA BARA

    May 15, 2025
  • WILAYA YA KISHAPU YAANZA MAANDALIZI YA KUPOKEA MWENGE WA UHURU AGOSTI 8, 2025

    May 14, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa