• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

DC MKUDE AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKIANA NA VYOMBO VYA DOLA KURIPOTI MATUKIO YA UKATILI

Posted on: December 10th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mhe. Joseph Mkude, amewataka wananchi wa Wilaya ya Kishapu na Mkoa wa Shinyanga kwa ujumla kushirikiana na vyombo vya dola katika kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia ili kupambana na ukatili huo na kuifanya jamii kuwa salama. Akizungumza katika maadhimisho ya Kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia, Mkude alisisitiza umuhimu wa kutoa taarifa sahihi na haraka ili kudhibiti ukatili wa kijinsia.

Afisa Ustawi wa Jamii wa Mkoa wa Shinyanga, Bi. Lidya Kwesigabo, alitoa taarifa kuhusu utekelezaji wa mpango wa Mkoa wa Miaka Mitano wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto, akibainisha kwamba ofisi ya Mkuu wa Mkoa inashirikiana na mashirika ya serikali na yasiyo ya kiserikali kutoa elimu, huduma za kisheria na kuunda madawati ya ulinzi wa mtoto.

Utafiti wa Maendeleo ya Watu na Afya Tanzania (TDHS) 2022 ulionyesha kwamba matukio ya ukatili wa kijinsia mkoani Shinyanga yalipungua kutoka asilimia 34 mwaka 2010 hadi asilimia 28 mwaka 2022, ingawa juhudi za kupambana na ukatili bado zinaendelea kwa kutoa huduma za kijamii na miundombinu bora ili kuhakikisha jamii inakuwa salama.

Matangazo

  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KISHAPU November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

    December 22, 2025
  • RC MHITA AWATAKA MADIWANI KISHAPU KUDUMISHA USHIRIKIANO NA MSHIKAMANO - NGUZO KUFANIKISHA MIPANGO YA MAENDELEO.

    December 19, 2025
  • DED JOHNSON ATOA MAELEKEZO MUHIMU KWA MADEREVA

    December 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WAMTEUA MWENYEKITI MPYA HALMASHAURI YA WILAYA KISHAPU

    December 03, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa