• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

DED JOHNSON AHIMIZA WATUMISHI KISHAPU UWAJIBIKAJI,KUHESHIMU NA KUTUNZA MALI ZA UMMA

Posted on: September 24th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Emmanuel Johnson akizungumza kwenye kikao kazi na Watumishi wa makao makuu ya Halmashauri hiyo na wanaofanya kazi Hospitali ya Dr.Jakaya Mrisho Kikwete Septemba 24,2025 katika Ukumbi wa Halmashauri.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Emmanuel Johnson, amewataka watumishi wa Halmashauri hiyo kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia miongozo, weledi na misingi ya kisheria.


Akizungumza Septemba 24, 2025 katika kikao cha kawaida kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya, Johnson amewataka watumishi kuwa waadilifu, kujituma na kuhakikisha huduma wanazozitoa kwa wananchi ziakuwa na ubora wa hali ya juu.

Aidha, amewakaribisha watumishi wapya kazini huku akiwahimiza watumishi wote kujiendeleza kielimu, jambo ambalo litakalowaongezea maarifa na kuboresha utendaji kazi wao.

Mkurugenzi huyo pia amewakumbusha watumishi kutunza na kulinda mali za umma, kuepuka utoro kazini pamoja na kudumisha Umoja,upendo na mshikikano akibainisha kuwa “umoja ndio silaha pekee ya kufanikisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi.”

"Ninawapongeza kwa kazi kubwa ya kuendelea kuwahudumia wananchi lakini nataka kusisitiza endeleeni kutia bidii zaidi kwani huo ndio wajibu wetu uliotifanya kuwepo hapa"ameongeza

Mkuu wa Divisheni ya Utawala na RasilimaliWatu Wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga Mona S. Bitakwate akizungumza kwenye Kikao kazi cha Mkurugenzi Mtendaaji wa Halmashauri hiyo Emmanuel Johnson na Watumishi wa Makao makuu na kutoka Hospital ya Wilaya ya Dr.Jakaya Mrisho Kikwete Septemba 24,2025 

Pamoja na mambo mengine Johnson amewataka watumishi kuwa mabalozi wa utoaji elimu kwa jamii ili kuwa na mwitikio mkubwa wa kushiriki upigaji kura ifikapo Oktoba 29,2025 kwa Amani na Utulivu mkubwa.

"Hadi sasa sijapata malalamiko ya watumishi kujihusisha na siasa hivyo wapeni elimu watu wote kuwa uchaguzi mkuu upo na wote tusishinikizwe na mtu yeyote kufanya vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani tuliyonayo" amesisistiza Johnson

Kwa upande mwingine, Mkuu wa Divisheni ya Utawala na RasilimaliWatu, Mona S. Bitakwate, amewataka watumishi wanawake kuonesha nidhamu ya hali ya juu kupitia kauli na mavazi yao wawapo ndani na nje ya maeneo ya kazi, akibainisha kuwa wao ni kielelezo muhimu katika jamii.
“Vaeni mavazi rasmi na yenye kuzingatia mwongozo wa Utumishi wa Umma na misingi ya utamaduni wa KiTanzania kwani sisi Wanawake ni msingi wa mambo yote, hivyo mambo mema yatatakiwa kutokea kupitia sisi watumishi wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu,” amesema Bi. Bitakwate.

Sambamba na kikao hicho, Mkurugenzi Johnson ameungana na watumishi wa Makao Makuu na Hospitali ya Wilaya ya Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kusherehekea kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa, ambapo amekata keki na kuwalisha watumishi wote kama ishara ya mshikamano na upendo.


Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    November 21, 2025
  • WATUMISHI KISHAPU WAPEWA MAFUNZO YA ELIMU YA FEDHA NA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

    November 20, 2025
  • DC,DED NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA KISHAPU WAUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA

    October 29, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO KISHAPU WAONYWA KUTOKUWA CHANZO CHA MIGOGORO

    October 27, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa