• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

JOHNSON AHAMASISHA MAPINDUZI KUWALINDA WANAWAKE NA WATOTO KISHAPU

Posted on: August 15th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu ambaye pia ni Mwenyekiti wa MTAKUWWA Wilayani humo akizungumza kwenye uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto Agosti 14,2025 Katika Ukumbi wa Halmshauri hiyo

Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga imezindua Mpango wa Pili wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA II).


Akizungumza katika uzinduzi huo,Mkurugenzi Mtendaji wa Hamashauri ya Wilaya ya Kishapu ambaye pia ni Mwenyekiti wa MTAKUWWA ngazi ya Wilaya Emmanuel Johnson, Agosti 14,2025 kwenye Ukumbi wa Halmashauri hiyo amewasisitiza wajumbe wote umuhimu wa kutekeleza majukumu yao kwa uzito mkubwa.


Ameshauri kwamba utekelezaji madhubuti wa wajibu huo ni msingi wa kuhakikisha ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto unatokomezwa.

Ameongeza kuwa Halmashauri itaandaa na kutenga bajeti maalum kwa ajili ya kuwasaidia wahanga wa ukatili pindi inapohitajika. Kauli hii inaashiria dhamira ya Halmashauri katika kutoa msaada wa kifedha na kiutatuzi kwa walioathiriwa, kuhakikisha wanapokea msaada unaohitaji kwa wakati unaofaa, hasa katika hali za dharura.

Johnson ameendelea kuonya vikali tabia ya kuwatumikisha Watoto katika shughuli za kuingizia kipato familia au kuwatumia kama nguvu kazi kwenye mashamba ya familia wakati wa masomo amesisitiza kuwa vitendo hivyo havikubaliki na ni kinyume cha sheria ya nchi na haki za Mtoto, hivyo hatua za kisheria zitafuata dhidi ya wote wanaoshiriki au kuruhusu mbinu kama hizo.

“Wajumbe wa MTAKUWWA kila mmoja anatakiwa kutimiza wajibu wake kikamilifu ili kuisaidia jamii kuondokana na ukatili" Amesema Johnson

Aidha, wawezeshaji wa Mpango Kazi wa MTAKUWWA II ngazi ya Wilaya na Mkoa wamewasilisha mienendo na maelezo ya utekelezaji wa mpango huo katika awamu ya kwanza na kuelezea mikakati ya awamu ya pili.

MTAKUWWA II ngazi ya Wilaya inamipango nane ikiwa ni pamoja na Kuimalisha Uchumi wa Kaya,Kuonda mila na desturi kandamizi,Mazingira salama maeneo ya Umma,Mazingira salama katika Teknolojia ya habari na mawasiliano,Malezi chanya,Utekelezaji na usimamizi wa sheria,Huduma za mwitikio kwa wahanga na manusura wa ukatili Mazingira salama Shuleni na stadi za maisha pamoja na Uratibu,Ufuatiliaji na Tathmini.

Taarifa ya Utekelezaji MTAKUWWA 2024/2025 ngazi ya Wilaya inaonesha kuwepo kwa lamli chonganishi zinazopelekea kutokea kwa ukatili pia wamebaini baadhi ya mazingira kuwa hatarishi ikiwa ni pamoja na Watoto kuchunga mifugo wakati wa masomo na uwepo wa ngoma za asili zinazopelekea ukatili mbalimbali kufanyika hasa Kata za Ukenyenge,Talaga na Songwa huku kesi 35 za ukatili zikitolewa taarifa kwenye vyombo vya kisheria ikiwemo migogoro ya familia, mimba kwa mwanafunzi mmoja na vipigo kwa Wanawake na Watoto wadogo

Mwakilishi wa kundi la Wanawake Fredina Said ameshauri kamati ya mtakuwa iendelee kutoa elimu ya kujitambua na kuwajengea uelewa wa pamoja wanawake kundi ambalo limekuwa waathirika wa moja kwa moja wa matukio ya ukatili wakiwa ndio walezi wakuu wa familia.

Kikao hicho kilichojumuisha wajumbe wa mtandao huo kutoka ngazi ya Wilaya kimemalizika kwa shukrani za pamoja kwa serikali na watendaji ngazi zote kwa uwajibikaji mkubwa uliopelekea kuonesha matokeo chanya hadi sasa kwenye jamii ya Kishapu.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • JOHNSON AHAMASISHA MAPINDUZI KUWALINDA WANAWAKE NA WATOTO KISHAPU

    August 15, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE CHAMA CHA MAKINI JIMBO LA KISHAPU ACHUKUA FOMU

    August 14, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WALIDHISHWA NA MIRADI YOTE KISHAPU

    August 08, 2025
  • KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA UNYONYESHAJI KISHAPU YAFANYIKA SHAGIHILU

    August 07, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa