• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

KISHAPU YAGAWA CHANJO 300,000 YA KUKU WA KIENYEJI

Posted on: July 1st, 2025

Afisa kilimo na mifugo Wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga Mwita Mwijarubi(kulia) akikabidhi chanjo kwa Afisa Mifugo wa Kata ya Mwamashele Gideon Mnyang'ali (kushoto) Julai 1,2025 katika ukumbi wa Halamashauri hiyo

Mratibu wa chanjo Wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga John Mchele(kulia) akimkamkabidhi Afisa kilimo na mifugo Wilayani humo Mwita Mwijarubi (kulia) chanjo hizo Julai 1,2025


Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga imegawa jumla ya chanjo 300,000 kwa ajili ya kuku wa kienyeji kwa maafisa mifugo wa Kata na Vijiji vyote vinavyounda Wilaya hiyo, ikiwa ni hatua madhubuti ya kuimarisha afya ya mifugo na kuinua kipato cha wananchi.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya chanjo hizo Julai 1, 2025, Afisa Kilimo na Mifugo wa Wilaya hiyo, Mwita Mwijarubi amesema kuwa, zoezi hilo ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi, lenye lengo la kuboresha ustawi wa wananchi kupitia sekta ya ufugaji wa kuku wa kienyeji.

“Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeonesha dhamira ya dhati kwa kuwahudumia wananchi wake. Chanjo hizi tumepokea bila gharama yoyote, na wananchi wanatakiwa kupatiwa huduma ya kuchanja kuku wao bila kulipishwa chochote,” amesisitiza Mwijarubi.

Amebainisha kuwa, kwa muda mrefu, wafugaji wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya vifo vya kuku kutokana na magonjwa kama mdondo, mafua ya ndege, na mengineyo. Kupitia mpango huu, Serikali inatarajia kupunguza kwa kiasi kikubwa athari hizo, hasa kwa wanawake na vijana ambao ndio kundi kubwa linalojishughulisha na ufugaji wa kuku kama chanzo cha kipato.

“Natoa agizo kwa wataalamu wote kuhakikisha kuwa wanatekeleza zoezi hili kwa weledi na uadilifu wa hali ya juu. Kila mfugaji anapaswa kupatiwa huduma hii bila vikwazo wala malipo yoyote. Hatutakubali kusikia kuwa mwananchi ametozwa fedha kwa ajili ya huduma hii ya chanjo,” ameongeza.

Amewataka viongozi wa Vijiji, Mitaa na Wananchi kwa ujumla kushirikiana kikamilifu ili kufanikisha lengo la Serikali la kuhakikisha kila mfugaji ananufaika na shughuli za ufugaji kwa tija na hatimaye kujikwamua kiuchumi.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • KISHAPU YAGAWA CHANJO 300,000 YA KUKU WA KIENYEJI

    July 01, 2025
  • VIJIJI 16 VINAVYOZUNGUKA MIGODI KISHAPU MIGOGORO YA ARDHI KUKOMESHWA

    June 27, 2025
  • TAKUKURU YAZINDUA JENGO JIPYA KISHAPU, LAWAPA WANANCHI IMANI NA UJASIRI KUPINGA RUSHWA

    June 26, 2025
  • DED KISHAPU AHIMIZA USHIRIKIANO KATI YA NGO's NA SERIKALI

    June 23, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa