• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

MAAFISA UGANI NA WADAU WA PAMBA KUHAKIKISHA WANAONGEZA TIJA KATIKA ZAO LA PAMBA

Posted on: March 11th, 2025

Maafisa Ugani na Wadau wa zao la pamba  wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha wanaongeza uzalishaji na tija kwenye zao la pamba kwa kutoa michango mbalimbali kwasababu wao ni wadau muhimu katika maendeleo ya zao hilo na si wakulima pekee.

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Peter Masindi ameyesema hayo leo Machi 11, 2025 wakati wa kikao cha Maafisa Ugani, watendaji wa Vijiji, AMCOS pamoja na Wadau wa Zao la Pamba kilichofanyika katika Ukumbi wa SHIRECU kwaajili ya  kutathmini Maendeleo ya Zao la Pamba kwa Wakulima

Akizungumza na Wadau wa Pamba,  AMCOS, Bodi ya Pamba, Maafisa Ugani, Watendaji wa Kijiji na Vijana wa BBT amewataka kushirikiana kwa pamoja katika kuhakikisha wanakuwa kitu kimoja wanapokutana na changamoto, kero na matatizo katika kipindi hiki ili iwe rahisi katika Kumsaidia Mkulima na kuhakikisha Pamba inapatikana kwa Wingi ili kufikia Malengo yaliyokusudiwa katika uzalishaji wa zao la Pamba

"Mnapotoka hapa mhakikishe mnaenda kukaa pamoja Afisa Ugani, Bodi ya Pamba, Mtu wa BBT, Afisa Ushirika, Mtendaji wa kata mkatafute Solution mnafanyaje ili  kufanikisha uzalishaji wa Pamba Mwezi wa Tano, Binadamu ameumbwa kutatua Changamoto za Watu wengine, hamna Binadamu aliyeumbwa kusababisha matatizo ya Watu hivyo mkawe kitu kimoja katika kutatua Changamoto za Wakulima Kwa kushirikia Pamoja" alisema Masindi

Aidha kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kishapu Mwl Sigthbeth Rwezahula amewataka Maafisa Ugani pamoja na Wadau wa Pamba kushirikiana kwa pamoja ndiyo kuleta Tija katika uzalishaji wa Zao la Pamba 2025 na Miaka ijayo



Aidha DC Masindi amepiga Marufuku Maafisa Ugani kujihusisha na Shughuli zingine tofauti na Kilimo, Shughuli ambazo zinapelekea  kushindwa kuwahudumia Wakulima wa Zao la Pamba ipasavyo


Pia amewataka wataalamu wa kilimo Wilayani Kishapu  kuendelea kutoa Elimu kwa wakulima wa zao la pamba kuzingatia taratibu za kilimo cha zao hilo ili kuongeza tija na uzalishaji na kuacha kilimo cha mazoea.


Hata na Hivyo Wakulima Wameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt, Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwajali katika kilimo cha Pamba licha ya Changamoto ndogondogo kama vile Sumu kwaajili ya kupulizia wadudu kutokufika kwa Wakati.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • CPA. MAKALA AIPONGEZA SERIKALI MAENDELEO KISHAPU – BUTONDO AOMBA DED ASIONDOLEWE

    May 23, 2025
  • DC KISHAPU AWAONYA WAVURUGA AMANI KATA YA MWASUBI NA BUNAMBIYU

    May 16, 2025
  • SERIKALI KUTUMIA DOLA MILIONI 77.4 KUZIWEZESHA KAYA DUNI LAKI MBILI NA ELFU 60 KILIMO NA UVUVI TANZANIA BARA

    May 15, 2025
  • WILAYA YA KISHAPU YAANZA MAANDALIZI YA KUPOKEA MWENGE WA UHURU AGOSTI 8, 2025

    May 14, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa