• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

SERIKALI KUTUMIA DOLA MILIONI 77.4 KUZIWEZESHA KAYA DUNI LAKI MBILI NA ELFU 60 KILIMO NA UVUVI TANZANIA BARA

Posted on: May 15th, 2025

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepanga kutumia Dola za Marekani milioni 77.4, sawa na Shilingi Bilioni 208.9, kuziwezesha kaya duni 260,000 zinazojishughulisha na kilimo na uvuvi. Mpango huu unalenga kuwajengea uwezo kitaalamu wananchi hao na kuwaunganisha na taasisi za kifedha, hususan Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kwa kipindi cha miaka sita mfululizo ili kuwaimarisha kiuchumi kupitia uzalishaji wa mazao ya kilimo na uvuvi.

Kaya hizo, ambazo zinakadiriwa kuwa na takriban Watanzania milioni 1.3, zipo katika mikoa 11 ya Tanzania Bara, na zitafaidika kupitia Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (Agriculture and Fisheries Development Programme - AFDP). Mradi huu unalenga kuimarisha mifumo jumuishi ya usalama wa chakula na lishe katika halmashauri 41 ndani ya mikoa hiyo.

Ili kuhakikisha utekelezaji thabiti wa programu ya AFDP, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu inayoratibu utekelezaji kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais – TAMISEMI, imewakutanisha Makatibu Tawala wa mikoa yote 11 pamoja na maafisa ugani kutoka halmashauri husika katika kikao kazi maalum kinachoendelea mkoani Morogoro. Lengo ni kujenga uelewa wa pamoja kuhusu utekelezaji wa programu hiyo.

Akifungua kikao hicho, Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Bi. Beatrice Kimoleta, aliwataka watendaji hao kusimamia kwa umakini matumizi ya fedha za mradi, akisisitiza kuwa hazipaswi kutumika kinyume na taratibu.


“Nasisitiza kuwa fedha hizi zisitumike kinyume na taratibu zilizowekwa katika utekelezaji wa programu hii. Serikali inatarajia kuona matokeo chanya. Isitokee hata senti moja ikatumika nje ya matumizi yaliyokusudiwa. Kufanya hivyo ni sawa na kuwadhulumu walengwa, jambo ambalo halitavumiliwa,” alionya Bi. Kimoleta.


Awali, Mratibu wa Programu ya AFDP, Bw. Salimu Mwinjaka, alitaja mikoa itakayofaidika na mradi huo kuwa ni Morogoro, Manyara, Singida, Dodoma, Tabora, Mwanza, Lindi, Pwani, Shinyanga, Geita na Tanga.


Akiainisha matarajio ya programu hiyo ifikapo mwisho wa utekelezaji wake, Bw. Mwinjaka alisema Serikali inalenga kuwa na meli zake za uvuvi katika Bahari ya Hindi, kuendeleza zao la mwani kwa wananchi wa visiwani Zanzibar, kupunguza upotevu wa mazao ya samaki, kuongeza upatikanaji wa mbegu bora za mazao kama mahindi, alizeti na jamii ya kunde, pamoja na kuanzisha viwanda vya uzalishaji wa chakula cha samaki, hatua itakayochochea uzalishaji wa vifaranga bora vya samaki.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • CPA. MAKALA AIPONGEZA SERIKALI MAENDELEO KISHAPU – BUTONDO AOMBA DED ASIONDOLEWE

    May 23, 2025
  • DC KISHAPU AWAONYA WAVURUGA AMANI KATA YA MWASUBI NA BUNAMBIYU

    May 16, 2025
  • SERIKALI KUTUMIA DOLA MILIONI 77.4 KUZIWEZESHA KAYA DUNI LAKI MBILI NA ELFU 60 KILIMO NA UVUVI TANZANIA BARA

    May 15, 2025
  • WILAYA YA KISHAPU YAANZA MAANDALIZI YA KUPOKEA MWENGE WA UHURU AGOSTI 8, 2025

    May 14, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa