• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

TIP YAENDESHA MAFUNZO YA KUPINGA UKATILI KISHAPU

Posted on: June 17th, 2025

Mratibu wa mradi wa "Chaguo langu haki yangu" unaotekelezwa na TIP kwa kushirikiana na UNFPA na HelpAge Kassim Ngabow  akizungumza kwenye mafunzo ya kuzuia ukatili wa kijinsia Wilayani Kishapu

Katika jitihada za kupambana na ukatili wa kijinsia, ndoa za utotoni, ukeketaji na mila kandamizi zinazowakandamiza wanawake na watoto,Muungano wa Taasisi za kidini Tanzanzi TIP umefanya mafunzo maalum kwa kushirikisha viongozi wa dini, waalimu wa madrasa na shule ya jumapili pamoja na viongozi wa kimila kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga.

Mafunzo hayo muhimu yamefanyika Juni 17, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, yakilenga kutoa elimu ya kina na kuongeza uelewa kwa viongozi kuhusu madhara ya ukatili wa kijinsia na umuhimu wa kushirikiana katika kutokomeza kabisa vitendo hivyo katika jamii.

Mwezeshaji kutoka ofisi ya maendeleo ya jamii Kishapu Mkoani Shinyanga Bernadetha Bagenzi 

Mwezeshaji wa mafunzo hayo kutoka ofisi ya Maendeleo ya jamii Kishapu Bernadetha Bagenzi amewahimiza washiriki kuwa mstari wa mbele katika kuelimisha jamii zao kuhusu madhara ya mila potofu na ukatili wa aina zote.

“Tunawategemea nyinyi kama mabalozi wa mabadiliko kwenye jamii Kwani mna nafasi ya kipekee kuelimisha, kushawishi na kuongoza mabadiliko ya kweli hivyo tukishirikiana, tunaweza kuufuta ukatili wa kijinsia katika kizazi hiki,” amesema Bagenzi.

Mwezeshaji wa mada ya pili iliyohusu mila potovu,mila kandamizi na tamaduni hasi kutoka shirika la TIP Abiduna Ally amesema iko nafasi kubwa ya imani katika kuleta mabadiliko ya kuzuia na kukabiliana na ukatili dhidi ya watoto nchini kwani mtu akibadilika na kuacha uovu akimtegemea Mungu hawezi kufanya ukatili kulingana na maagizo ya Neno la Mungu pekee.

Mratibu wa mradi wa "Chaguo langu haki yangu" unaotekelezwa na TIP kwa kushirikiana na shirika la umoja wa mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi na haki ya kijinsia (UNFPA) na Shirika linalohudumia wazee Tanzania (HelpAge) Kassim Ngabow amesema TIP imepanga kufanya mafunzo hayo kwa viongozi wa dini yatakayowajengea uwezo juu ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika Halamashauri hiyo.

Mafunzo hayo yametoa fursa ya mjadala mpana ambapo washiriki wamejadiliana, kubadilishana uzoefu na kutoa mapendekezo juu ya mbinu bora za kupambana na mila zinazokandamiza wanawake na watoto wa kike.

Aidha, mkutano huo ulimalizika kwa kutungwa kwa maazimio na mikakati ya pamoja, ikiwa ni pamoja na kuelimisha jamii kuanzia majumbani kwao, jamii inayowazunguka, kupitia mimbari za dini na mikutano ya kijamii.

Samabamba na hayo wameazamia kuelimisha jamii kupata uelewa wa pamoja wa kutoa taarifa za matukio ya ukatili kwa vyombo vya dola pamoja na kushirikiana na serikali na mashirika mengine katika mapambano dhidi ya mila kandamizi.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • VIJIJI 16 VINAVYOZUNGUKA MIGODI KISHAPU MIGOGORO YA ARDHI KUKOMESHWA

    June 27, 2025
  • TAKUKURU YAZINDUA JENGO JIPYA KISHAPU, LAWAPA WANANCHI IMANI NA UJASIRI KUPINGA RUSHWA

    June 26, 2025
  • DED KISHAPU AHIMIZA USHIRIKIANO KATI YA NGO's NA SERIKALI

    June 23, 2025
  • TIP YAENDESHA MAFUNZO YA KUPINGA UKATILI KISHAPU

    June 17, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa