• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

WAGOMBEA UBUNGE 4 WACHUKUA FOMU JIMBO LA KISHAPU

Posted on: August 22nd, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga Bw.Joseph Swalala

Vyama vinne vya siasa vimepeleka wagombea wake kuchukua fomu za kugombea Ubunge katika Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga, mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Bw. Joseph Swalala.

Mgombea Ubunge Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga kwa tiketi ya Chama Makini Bi.Perpetua Kabete(kushoto) akipokea fomu ya uteuzi kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu  Bw.Joseph Swalala(kulia) Agosti 14,2025

Wagombea hao wamechukua fomu pamoja na miongozo ya uchaguzi kwa ajili ya kupata uelewa wa namna wanavyopaswa kuenenda katika kipindi cha kampeni hadi Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.

Vyama vilivyothibitisha ushiriki wake mpaka leo Agosti 22 ni Chama Cha Makini, Sauti ya Umma (SAU), Democratic Party (DP) na National Reconstruction Alliance (NRA).

Zoezi  la uchukuaji fomu linatarajiwa kuhitimishwa ifikapo  Agosti 27, 2025

Mgombea Ubunge Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga kupitia Chama Cha Sauti ya Umma(SAU) Bi.Siwema John Silas Agosti 15,2025

Mgombea Ubunge Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga kwa tiketi ya Chama cha Democratic Party (DP) Bi. Vida Wilson Rubete(kushoto) akipokea fomu ya uteuzi kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu  Bw.Joseph Swalala(kulia) Agosti 18,2025

Mgombea Ubunge Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga kwa tiketi ya Chama Cha National Reconstruction Alliance (NRA) Bw.Edward Blandit Jisandu  akiwa ameshikilia fomu na miongozo mbalimbali ya Uchaguzi baada ya kupokea kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu  Bw.Joseph Swalala Agosti 22,2025Picha ya pamoja ya viongozi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Jimbo la Kishapu na mgombea Ubunge Jimbo hilo kwa Tiketi ya Chama Makini

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • WAGOMBEA UBUNGE 4 WACHUKUA FOMU JIMBO LA KISHAPU

    August 22, 2025
  • DED JOHNSON AHAMASISHA MAPINDUZI KUWALINDA WANAWAKE NA WATOTO KISHAPU

    August 15, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE CHAMA CHA MAKINI JIMBO LA KISHAPU ACHUKUA FOMU

    August 14, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WALIDHISHWA NA MIRADI YOTE KISHAPU

    August 08, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa