• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
    • Ratiba ya vikao vya kisheria vya MSM
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

WAGOMBEA UBUNGE 4 WACHUKUA FOMU JIMBO LA KISHAPU

Posted on: August 22nd, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga Bw.Joseph Swalala

Vyama vinne vya siasa vimepeleka wagombea wake kuchukua fomu za kugombea Ubunge katika Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga, mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Bw. Joseph Swalala.

Mgombea Ubunge Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga kwa tiketi ya Chama Makini Bi.Perpetua Kabete(kushoto) akipokea fomu ya uteuzi kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu  Bw.Joseph Swalala(kulia) Agosti 14,2025

Wagombea hao wamechukua fomu pamoja na miongozo ya uchaguzi kwa ajili ya kupata uelewa wa namna wanavyopaswa kuenenda katika kipindi cha kampeni hadi Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.

Vyama vilivyothibitisha ushiriki wake mpaka leo Agosti 22 ni Chama Cha Makini, Sauti ya Umma (SAU), Democratic Party (DP) na National Reconstruction Alliance (NRA).

Zoezi  la uchukuaji fomu linatarajiwa kuhitimishwa ifikapo  Agosti 27, 2025

Mgombea Ubunge Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga kupitia Chama Cha Sauti ya Umma(SAU) Bi.Siwema John Silas Agosti 15,2025

Mgombea Ubunge Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga kwa tiketi ya Chama cha Democratic Party (DP) Bi. Vida Wilson Rubete(kushoto) akipokea fomu ya uteuzi kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu  Bw.Joseph Swalala(kulia) Agosti 18,2025

Mgombea Ubunge Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga kwa tiketi ya Chama Cha National Reconstruction Alliance (NRA) Bw.Edward Blandit Jisandu  akiwa ameshikilia fomu na miongozo mbalimbali ya Uchaguzi baada ya kupokea kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu  Bw.Joseph Swalala Agosti 22,2025Picha ya pamoja ya viongozi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Jimbo la Kishapu na mgombea Ubunge Jimbo hilo kwa Tiketi ya Chama Makini

Matangazo

  • TANGAZO LA MWALIKO WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI January 20, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI December 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • DC KISHAPU AWASILISHA TAARIFA YA WILAYA YA UTEKELEZAJI WA ILANI, HALMASHAURI KUU YAIBARIKI

    January 21, 2026
  • SHINYANGA YAJIPIMA UTEKELEZAJI MKATABA WA LISHE NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 16, 2026
  • KAMATI YA FUM KISHAPU YAKAGUA MIRADI YA ZAIDI YA TSH. BILIONI. 1.2

    January 15, 2026
  • RC MHITA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KISHAPU.

    January 10, 2026
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa