• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI KISHAPU WAJENGEWA UWEZO

Posted on: August 4th, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga, Bw. Joseph Sahani Swalala akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata Agosti 4,2025 katika Ukumbi wa Mwadui

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Bw. Joseph Sahani Swalala, amewataka wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha wanasimamia mchakato wa uchaguzi kwa weledi, uadilifu na umakini mkubwa, ili kuepuka vurugu na malalamiko katika kipindi chote cha uchaguzi.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi hao leo Agosti 4, 2025, katika Ukumbi wa Mwadui Wilayani humo Bw. Swalala amesema wajibu waliopewa ni mkubwa, hivyo unahitaji nidhamu ya hali ya juu na uwajibikaji wa kweli.

"Mmeaminiwa kusimamia zoezi nyeti kwa Taifa, hivyo zingatieni maadili ya kazi hii, fuateni taratibu, msijihusishe na upendeleo wa aina yoyote, na hakikisheni mnatimiza majukumu yenu kwa haki hadi mwisho wa uchaguzi," amesisitiza Swalala.

Amewataka kutumia mafunzo hayo kama fursa ya kujiongezea maarifa na kubadilishana uzoefu katika usimamizi wa chaguzi, ili kuhakikisha kuwa kila hatua ya mchakato inatekelezwa kwa ufanisi bila kuibua migogoro au uvunjifu wa amani.

Katika hatua nyingine, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Wilaya ya Kishapu, Mhe. Johanita Projest, amewaapisha wasimamizi hao kwa kiapo maalum cha kutoshiriki au kujiusisha na shughuli yoyote ya kisiasa katika kipindi chote cha uchaguzi.

Mhe. Johanita amewakumbusha kuwa nafasi waliyopewa ni ya kisheria na hivyo wanapaswa kuwa waadilifu, waaminifu, na kutunza siri za kazi wanazozifanya kwa mujibu wa sheria za uchaguzi.

“Kiapo mlichokula ni agano mbele ya sheria na mbele ya jamii. Msikubali kutumika kwa namna yoyote ambayo inaweza kuvuruga uchaguzi au kuvunja amani katika Kata zenu,” ameeleza.

Mafunzo hayo ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa kuchagua Rais,Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Octoba Mwaka huu, ambapo wasimamizi wasaidizi wa kata ndio kiungo muhimu katika kuhakikisha kila hatua ya mchakato wa uchaguzi inatekelezwa kwa mujibu wa sheria na miongozo ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC).

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • JOHNSON AHAMASISHA MAPINDUZI KUWALINDA WANAWAKE NA WATOTO KISHAPU

    August 15, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE CHAMA CHA MAKINI JIMBO LA KISHAPU ACHUKUA FOMU

    August 14, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WALIDHISHWA NA MIRADI YOTE KISHAPU

    August 08, 2025
  • KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA UNYONYESHAJI KISHAPU YAFANYIKA SHAGIHILU

    August 07, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa