Posted on: April 24th, 2023
Nusu Fainali ya ligi ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikihusisha timu 8 wilayani Kishapu mkoani Shinyanga imemalizika kwa GAZZA FC kuibuka kidedea kwa kuichapa TALENT 3-0. Na ku...
Posted on: April 13th, 2023
Wananchi wa Kishapu wamemshukuru Mbunge wa Jimbo la Kishapu Boniphace Butondo kwa mgawanyo mzuri wa fedha za mfuko wa jimbo kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kuangalia hasa sehemu zenye uhitaji.
...