Posted on: August 22nd, 2018
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Charles Kabeho amewasisitiza wazazi kuwaandikisha watoto wao shule ili wapate elimu itakayowasaidia katika mazingira yanayowazunguka.
Kabeho alitoa kaul...
Posted on: August 21st, 2018
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2018, Charles Kabeho ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu kwa kutekeleza miradi ya maendeleo yenye ubora na kwa gharama nafuu.
Pia ameipong...
Posted on: August 20th, 2018
Mwenge wa Uhuru umekimbizwa wilayani Kishapu Agosti 201, 2018 ambapo umekagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi 10 ya maendeleo yenye thamani ya jumla ya sh. bilioni 2.2.
Katika mbio ...