Posted on: July 18th, 2018
Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu imepangiwa jumla ya walimu 44 watakaojaza nafasi katika shule za msingi na sekondari baada ya mchakato wa kutangaza ajira za watumishi wa kada hiyo.
Kwa mujibu wa ...
Posted on: July 16th, 2018
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amesema Serikali imetoa sh. milioni 534 kwa ajili ya kuboresha miundombinu katika shule za msingi na sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu.
Amesema pia imeten...
Posted on: July 14th, 2018
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ametembelea na kukagua soko la pamba la chama cha ushirika cha msingi (AMCOS) kijiji cha Mwagongo alipofanya ziara wilayani Kishapu Julai 13, 2018.
Akiwa kijijini ...