Posted on: March 26th, 2018
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu umetoa jumla ya shilingi milioni 237.8 kwa kaya maskini 5948 katika kipindi cha mwezi Machi hadi Aprili.
Mratibu wa TASAF...
Posted on: March 24th, 2018
Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu inatarajiwa kuongeza huduma nyingine ya upasuaji baada ya kukamilika kwa ujenzi wa jengo la upasuaji katika kituo cha afya kilichopo kata ya Songwa.
Kwa mujibu wa t...
Posted on: March 21st, 2018
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mhe. Nyabaganga amewashauri wananchi kufuata na kuzingatia ushauri unaotolewa na wataalamu wa kilimo ili kuweza kufanya kilimo chenye tija.
Mhe. Taraba ametoa ushauri huo...