Posted on: February 10th, 2018
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mh. Nyabaganga Taraba ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya hiyo kuwahamasisha wananchi hususan wawekezaji wadogo kujenga viwanda vidogo vidogo.
Pia ameitaka kujenga mazingir...
Posted on: February 8th, 2018
Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu ipo katika mchakato wa kuwahamishia walimu wa ziada wa masomo ya sanaa wa shule za sekondari kwenda kufundisha shule za msingi zenye upungufu.
Hayo yamebainishwa na...
Posted on: February 6th, 2018
Serikali ya Tanzania imeweka mkazo kuboresha mazingira ya elimu kwa wanafunzi katika kujifunza ambayo ndiyo chachu ya mabadiliko na kufanya sekta hiyo nyeti ipige hatua.
Miongoni mwa mafanikio yali...