Posted on: December 20th, 2017
Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu imezindua mradi wa Mradi wa Mtoto Mwerevu unaotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Shirika lisilo la Kiserikali la IMA WORLDHEALTH, Pamoja na Chuo cha Cornel.
...
Posted on: December 18th, 2017
Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu kwa kushirikiana na wadau wa elimu imetatua changamoto zinazoikabili sekta hiyo kwa kuwekeza katika usafiri kwa maafisa elimu kata.
Itakumbukwa Serikali kupitia Pro...
Posted on: December 16th, 2017
Mvua kubwa ya upepo mkali imesababisha maafa katika vijiji vya Ukenyenge na Negezi wilayani Kishapu mkoani Shinyanga ambapo imeezua paa za nyumba 37 pamoja na majengo Serikali.
Tukio hilo lilitokea...