Posted on: August 4th, 2017
Na Ofisi ya Habari, Kishapu
Wananchi wa vijiji vya Mwajiginya A, Ubata na Mwaweja wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wanatarajia kunufaika na mradi wa visima vya maji saba mwaka huu.
Hii ni baada...
Posted on: July 27th, 2017
Na Ofisi ya Habari, Kishapu
Halmashauri ya wilaya ya Kishapu imepongezwa kwa hatua yake ya utekelezaji miradi mbalimbali ya maendeleo kwa ufanisi pamoja na changamoto za uhaba wa fedha.
Pongezi ...
Posted on: July 25th, 2017
Na Ofisi ya Habari, Kishapu
Mkuu wa wilaya ya Kishapu, Nyabanga Taraba amezindua kampeni ya umezaji dawa za magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kwa watoto wa miaka minne hadi 15.
Katika uzin...