Idara ya Maendeleo ya Jamii ni idara kiungo kati ya jamii, Serikari na wadau mbalimbali wa maendeleo. Idara ya Maendeleo ya Jamii ina vitengo (Section) kama ifuatavyo:-
Kama Idara mtambuka idara hushirikiana na idara nyingine katika Halmashauri ya Wilaya pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali na Asasi za kiraia zilizopo katika maeneo ya Wilaya hii.
Idara ina jumla ya watumishi 22 ambao wako makao Makuu na ngazi ya Kata kwa mchanganuo ufuatao:-
Shughuli zinazotekelezwa na idara hii ni pamoja na :-
Idara ya maendeleo ya Jamii inatoa huduma mbalimbali za kijamii kwa ajili ya kuhakikisha jamii inapata maendeleo inayoyahitaji:-
Halmashauri ya Wilaya Kishapu
Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU
Simu ya mezani: +255282770020
Simu:
Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz
Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa