• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

Historia

Chimbuko la Wilaya ya Kishapu.

Wilaya ya Kishapu ilianzishwa mnamo Julai 1, 2002 kama matokeo ya mgawanyiko wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. Mnamo Julai 1, 2006. Halmashauri ilianzishwa rasmi baada ya kutangazwa kutoka gazeti la Serikali la Julai 29, 2005 na Na. 220 ya GN. Wilaya ya Kishapu ni kati ya wilaya sita zinazounda mkoa wa Shinyanga ambapo wilaya zingine ni Kahama mjini,Ushetu,Msalala,Shinyanga vijijini na Shinyanga mjini. Wilaya ya Kiahapu inapakana na Wilaya ya Meatu (mkoa wa Simiyu) upande wa mashariki, Shinyanga vijijini na mjini upande wa magharibi, wilaya ya Maswa upande wa kaskazini na wilaya ya Igunga kwa upande wa Kusini.

Ukubwa wa Eneo.

Wilaya ina kilomita ya mraba 4,333 ambayo ni sawa na asilimia 8.5 ya eneo la Mkoa wa Shinyanga ambao una kilomita za mraba 50,781. Eneo la makazi ya binadamu ni kilomita ya mraba 1,536.4 sawa na asilimia 35.5 ya eneo la jumla la Wilaya. Eneo la shughuli za Kilimo ni kilometa za mraba 1,898.33 sawa na asilimia 43.8 ya eneo la jumla. Eneo la kutunza mifugo ni kilomita za mraba 747.02 sawa na asilimia 17.2 ya jumla ya eneo. Eneo la misitu ni kilomita za mraba 100.78 sawa na asilimia 2.3 ya eneo la jumla.Eneo lisilozalisha lina ukubwa wa kilometa 50.47 sawa na asilimia 1.2 ya eneo la jumla.

Eneo la Utawala na Watu wake.

Wilaya ina Tarafa tatu 3, kata 29 na Vijiji 117, Vitongoji 660 na jimbo moja la uchaguzi. Wilaya imefanikiwa kuanzisha Mamlaka mji mdogo wa Kishapu. Idadi ya watu katika sensa ya mwaka 2022,wilaya ilikua na idadi ya watu 335,483.

Hali ya hewa.

Wilaya ya Kishapu hupata wastani wa joto la nyuzi 28 C na mvua kati ya 450-900mm kwa mwaka. Wilaya hupata msimu mmoja wa mvua ambao huanza katikati ya mwezi Novemba hadi mwanzoni mwa mwezi Januari, ukifuatiwa na kipindi cha ukame kuanzia katikati ya Januari hadi mwishoni mwa mwezi Februari. Mvua hunyesha tena mwezi Machi na kuishia Mei.

Shughuli za kiuchumi.

Wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu hujihusisha na shughuli za Kiuchumi kama ifuatavyo.

  • Kilimo cha mazao ya chakula na biashara yakiwemo pamba, mkonge, mtama, uwele, mahindi na dengu.
  • Ufugaji wa mifugo ya ng'ombe, mbuzi, kondoo,kuku, bata na nguruwe.
  • Uvuvi wa samaki katika mabwawa ya Songwa na Mhumbu.
  • Mgodi wa Almasi wa Williamson uliopo Mwadui.
  • Biashara ya bidhaa mbalimbali.







Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WAMTEUA MWENYEKITI MPYA HALMASHAURI YA WILAYA KISHAPU

    December 03, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    November 21, 2025
  • WATUMISHI KISHAPU WAPEWA MAFUNZO YA ELIMU YA FEDHA NA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

    November 20, 2025
  • DC,DED NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA KISHAPU WAUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA

    October 29, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa