Posted on: November 8th, 2017
Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu chini ya ufadhili wa Asasi isiyo ya kiserikali ya Msaada na Mandeleo ya Jamii (REDESO) imetoa vifaa kwa ajili ya mradi wa bwawa la samaki kwa kikundi.
Vifaa hivyo v...
Posted on: November 7th, 2017
Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu inatarajia kupokea jumla ya sh. milioni 321 kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa ajili kujenga na kukamilisha miundombinu ya shule za msingi.
Mkurugenzi Mtend...
Posted on: November 6th, 2017
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, Stephen Magoiga ametembelea kijiji cha Idukilo na kuzungumza na wananchi kuhamasisha shughuli mbalimbali za maendeleo.
Katika ziara hiyo Magoig...