• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Machapisho
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • MATANGAZO
  • Madiwani

SHINYANGA YA JIPANGA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI,

Posted on: September 26th, 2022


Mkuu wa  Mkoa wa Shinyanga, Mhe Sophia Edward Mjema  amewashauri wakazi wa mkoa wa Shinyanga kuanza kujiandaa kwa kilimo msimu wa mwaka 2022/2023 kwa kulima mazao yanayostamili ukame ili kwenda sambamba na Mabadiliko ya Tabia ya Nchi  kama ilivyo tolewa taarifa na Mamlaka ya  hali ya hewa nchini .

 Mhe, Mjema ametoa ushauri huo wakati wa kikao cha maafa cha mkoa wa Shinyanga kilichokutana kupanga mikakati ya kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia ya Nchi pamoja na kuangalia bei ya bidhaa na kufuatilia.

Hata hivyo mkuu wa mkoa amesema mkoa wake unaziada ya chakula na kutoa wito kwa wananchi kutunza chakula hicho japo kuwa kumekuwepo na tatizo la bidhaa za vyakula kupanda bei

Kwa upande wake Katibu tawala msaidizi uchumi na uzalishaji Ndg, Berda Chamatata amesema mkoa wa Shinyanga unakadiliwa kuwa na Watu milioni 1,993,589 na mahitaji ya chakula tani laki 472,979 na uzalishaji wa msimu uliopita wa mwaka 2021/2022 ni tani laki 484,501 .

Kaimu meneja na wakala wa hifadhi ya chakula mkoa wa Shinyanga Ndg, Joseph Maige amesema wana chakula cha kutosha kwenye hifadhi yao kwa ajili ya  mikoa 8 kwenye kanda yao huku meneja wa TMA Mkoa wa shinyanga Amesema msimu huu mvua ni chini ya Wastani.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • RATIBA YA UFANYAJI MAZOEZI KWA KILA WIKI August 16, 2021
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KISHAPU WATAKIWA KUPAZA SAUTI KUHUSU MMONYOKO WA MAADILI

    May 15, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA UKUSANYAJI MZURI WA MAPATO YA NDANI.

    May 10, 2023
  • WAZIRI JAFO APONGEZA MIRADI ILIYOTEKELEZWA

    May 06, 2023
  • RC MNDEME AMEAGIZA UJENZI WA BWAWA JIPYA LA MGODI WA ALMASI MWADUI LIJENGWE KWA KIWANGO BORA

    May 02, 2023
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu:

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa