.UTANGULIZI
Idara ya Elimu Msingi inaundwa na vitengo vitatu katika kutekeleza majukumu yake. Vitengo hivi ni kama ifuatavyo:-
Idara ya Elimu Msingi ina jumla ya Shule 122 kati ya hizo, shule 119 ni za Serikali na Shule 3 ni za watu binafsi.
Idara hii ilianza mwaka 2005, ikisimamia Elimu msingi na Sekondari chini ya Afisa Elimu (W) ndugu Patric Msira. Mwaka 2006 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ilimteua ndugu Reuben C. Kaduli kuwa Afisa Elimu wilaya ya Kishapu,Katika kutekeleza majukumu ya serikali alisaidiana na maafisa Elimu wafuatao:-
Mwaka 2010 Idara ilisimamiwa na Julitha Ishengoma aliyehamishiwa Kishapu kutoka wilaya ya Maswa. Baadae mwaka 2013 Anderson N. Mwalongo alihamishiwa wilaya ya Kishapu akisaidiana na maafisa wafutao:-
Kuanzia mwaka 2013 hadi sasa idara hii ya elimu msingi inasimamiwa na Afisa Elimu ndugu Sostenes. C. Mbwilo akisaidiana na Emmanuel nyamwila ngobayi, Afisa Elimu Taaluma (w) , Daniel Machera Birore, Afisa Elimu Taaluma (w) Baraka Mwijarubi Mtabi Afisa Elimu Watu Wazima (w), Moshi Balele Moshi, Afisa Elimu Ufundi (w), Paul Richard Magubiki, Afisa Elimu Takwimu na Vifaa (w), Richard Mwangi Mutatina, Afisa Elimu Takwimu na Vifaa (w), Winifrida Kuleba Mukama Afisa Elimu Sayansikimu na Afya (w) pamoja na Boaz Marco Mafuru, Afisa Alimu Elimu Maalum (w)
Majukumu ya idara ya Elimu Msingi yanatekelezwa kutegemea vitengo vilivyopo kama vile Taaluma, Takwimu na Vifaa, Elimu ya Watu wazima pamoja na Elimu Maalum. Aidha majukumu hayo yanatekelezwa kwa ngazi za kata na vijiji kupitia Waratibu Elimu Kata 29 pamoja na walimu wakuu 122 katika shule za serikali na binafsi. Majukumu hayo ni kama ifuatavyo:-
|
DARASA LA AWALI |
DARASA I – VII |
JUMLA KUU YA AWALI NA MSINGI |
||
WAV |
WAS |
JML |
|||
2014 |
7,226 |
21,971 |
23,431 |
45,402 |
52,628 |
2015 |
8,907 |
21,172 |
23,384 |
44,556 |
53,463 |
2016 |
13,192 |
21,501 |
23,779 |
45,280 |
58,472 |
2017 |
11,735 |
27,411 |
28,822 |
56,233 |
67,968 |
Halmashauri ya Wilaya kwa mara ya mwisho imepokea walimu wa ajira mpya mwaka 2014. Hivyo wilaya kwa sasa inaupungufu wa walimu 943 ambao ni sawa na asilimia 48.9 ya mahitaji.
IKAMA YA WALIMU
Idadi ya walimu waliopo tangu 2014 - 2017
|
|
||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Mahitaji ya walimu kwa mwaka 2017
|
||
|
|
|
|
|
|
Miundombinu tangu 2014 – 2017
MWA KA
|
Vyumba vya Madarasa |
Nyumba za walimu |
Vyoo |
Madawati |
||||||||
Mah |
Vil |
Up |
Mah |
Vil |
Up |
Mah |
Vil |
Up |
Mah |
Yal |
Up |
|
2014
|
1170 |
760 |
410 |
1170 |
255 |
915 |
2288 |
604 |
1684 |
15134 |
10937 |
4197 |
2015
|
1188 |
785 |
403 |
1188 |
271 |
1109 |
2324 |
693 |
1631 |
14852 |
11454 |
3398 |
2016
|
1299 |
788 |
511 |
1299 |
279 |
1020 |
2542 |
762 |
1780 |
15093 |
18910 |
0 |
2017
|
1,927
|
792
|
1,135
|
1,927
|
279
|
1,648
|
1,732
|
762
|
970
|
23,086
|
19,997
|
4,079
|
TRC Ndoleleji iliyoko Kata ya Shagihilu,
TRC Mipa iliyoko Kata ya Seke Bugolo na
TRC Negezi iliyoko Kata ya Ukenyenge.
Takwimu za wanafunzi wenye ulemavu
TAKWIMU ZA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU |
|||||||||||
KITENGO |
SHULE JUMUISHI |
JUMLA KUU |
|||||||||
AINA YA ULEMAVU |
WAV |
WAS |
JML |
AINA YA ULEMAVU |
WAV |
WAS |
JML |
||||
ULEMAVU WA AKILI |
7 |
4 |
11 |
ULEMAVU WA NGOZI |
2 |
2 |
4 |
|
|||
WASIO SIKIA |
4 |
3 |
7 |
||||||||
ULEMAVU WA AKILI |
11 |
9 |
20 |
||||||||
JUMLA |
7 |
4 |
11 |
|
17 |
14 |
31 |
||||
JUMLA KUU |
|
11 |
|
31 |
42 |
||||||
IDADI YA WALIMU WA WATOTO WENYE ULEMAVU |
|||||||||||
ME
|
KE
|
JML
|
TAALUMA
|
||||||||
2 |
3 |
5 |
MTINDIO WA UBONGO |
||||||||
|
|
|
WASIO ONA |
||||||||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Halmashauri ya Wilaya Kishapu
Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU
Simu ya mezani: +255282770020
Simu:
Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz
Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa