• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Machapisho
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • MATANGAZO
  • Madiwani

DC MKUDE AZINDUA UWEKAJI ALAMA KULINDA VYANZO VYA MAJI.

Posted on: November 13th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Kishapu Mhe.Joseph Mkude, amezindua zoezi la uwekaji Alama kwenye mipaka ya vyanzo vya maji katika Mabwawa ya Songwa na Mhumbu wilayani humo ili kuvilinda vyanzo hivyo vya maji kwa kuzuia shughuli za kibinadamu.


Zoezi hilo la limefanyika jana likiambatana Sambamba na upandaji miti, ambalo limeratibiwa na Bodi ya Maji Bonde la Kati.


Awali akizungumza kabla ya kumkaribisha Mkuu wa wilaya kuzindua uwekaji wa Alama hizo, Mhandisi wa Mazingira kutoka Bodi ya Maji Bonde la Kati Nyacheli Mramba, amesema wameweka Alama hizo za mipaka na Mabango ili kuzuia wananchi wasifanye shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo hivyo ili kuvilinda visitoweke.


Naye Mkuu wa wilaya ya Kishapu Joseph Mkude, ametoa wito kwa wananchi wasifanye shughuli za kibinadamu kwenye Mabwawa hayo, ikiwamo na kufanya shughuli za kilimo na uchimbaji madini, bali wavitunze vyanzo hivyo vya maji kwa faida yao na vizazi vijavyo.

“Natoa wito kwa wananchi vitunzeni vyanzo hivi vya maji msifanye kabisa shughuli za kibinadamu, na katika Mabwawa haya yamejengwa Matangi kwa ajili ya kunyweshea mifugo yatumieni na msiingize tena mifugo ndani ya maji,”amesema Mkude.

Katika hatua nyingine, amewataka wananchi wa Kishapu kuzitumia ipasavyo Mvua ambazo zinanyesha hivi sasa, kwa kupanda miti ili kuifanya Kishapu kuwa ya kijana.

Nao baadhi ya wananchi wa Kata ya Songwa, wamesema uwekaji huo wa Alama za mipaka katika Mabwawa hayo,utasaidia kuvilinda vyanzo hivyo vya maji ambavyo vilikuwa hatarini kutoweka, kutokana na shughuli za kibinadamu ikiwamo kilimo, uvuvi na uchimbaji madini.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • RATIBA YA UFANYAJI MAZOEZI KWA KILA WIKI August 16, 2021
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • DC MKUDE AZINDUA UWEKAJI ALAMA KULINDA VYANZO VYA MAJI.

    November 13, 2023
  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA WAJIBU WAO

    October 17, 2023
  • KIKUNDI CHA UMOJA NI NGUVU CHA PONGEZWA KUMALIZA MKOPO WA HALMASHAURI.

    October 13, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA

    September 11, 2023
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu:

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa