• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

RAIS SAMIA AIPONGEZA HALMASHAURI YA KISHAPU KWA USIMAMIZI MZURI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024

Posted on: March 18th, 2025

Rais Samia Aipongeza Halmashauri ya Kishapu kwa Usimamizi Mzuri wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu kwa kazi nzuri waliyoifanya katika usimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024.

Salamu hizo ziliwasilishwa leo Machi 18, 2025 na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, Ndugu Emmanuel Johnson, alipokuwa akizungumza na watumishi wa halmashauri hiyo katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri.

"Tulikuwa kwenye kikao cha ALAT Taifa, ambapo Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza sana watumishi waliopo Serikali za Mitaa, wakiwemo watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, kwa usimamizi mzuri wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Pia, Mhe. Rais ametutaka tuendelee kufanya kazi kwa bidii na kwa ushirikiano mkubwa, huku tukiendelea kutangaza mazuri yanayofanywa na Serikali," alisema Ndugu Johnson.

Aidha, Mkurugenzi huyo alitumia fursa hiyo kutoa wito kwa wananchi na watumishi wote wa Kishapu kujihadhari na ugonjwa wa Mpox. Aliagiza Mganga Mkuu wa Wilaya kutoa elimu kwa jamii kuhusu namna ya kujikinga dhidi ya ugonjwa huo.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI December 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWATAKA MADIWANI KISHAPU KUDUMISHA USHIRIKIANO NA MSHIKAMANO - NGUZO KUFANIKISHA MIPANGO YA MAENDELEO.

    December 19, 2025
  • DED JOHNSON ATOA MAELEKEZO MUHIMU KWA MADEREVA

    December 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WAMTEUA MWENYEKITI MPYA HALMASHAURI YA WILAYA KISHAPU

    December 03, 2025
  • WATUMISHI KISHAPU WAPEWA MAFUNZO YA ELIMU YA FEDHA NA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

    November 20, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa