• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

DC MASINDI ASISITIZA MATUMIZI YA NISHATI BORA

Posted on: March 11th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Peter Masindi amewataka Wananchi wa Kishapu kutumia  nishati mbadala ili kupunguza kasi ya ukataji wa miti.

Ametoa tamko hilo leo tarehe 11 Machi 2025 wakati akizungumza na Wananchi wa Kata ya Maganzo katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Viwanja vya Soko la Maganzo

Akizungumza wakati wa Mkutano huo, mhe. Masindi ametoa wito kwa wananchi kuungana katika kutunza na kulinda mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi zinazoathiri mazingira na uchumi katika Wilaya ya Kishapu

“Ndugu zangu lengo kubwa la katazo la matumizi ya kuni na mkaa kwa Wananchi ni kusonga mbele katika kudhibiti uharibifu wa mazingira, ukataji miti hovyo ambayo inasababisha hata mvua kuwa chache katika Wilaya ya Kishapu, maelekezo haya nayatoa kwa Wananchi wote, wanatakiwa kutunza mazingira na kuacha kukata miti ovyo," amesisitiza.

Aidha, Mhe. Masindi amewataka Wananchi wanaotumia kuni na Mkaa kucha mara moja na kujikita katika matumizi ya Nishati safi kwa kununua hata Mitungi Midogo ya Gesi

Aliongeza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kujipambanua katika suala zima la mazingira kwa kutekeleza miradi ya kujali mazingira.

Matangazo

  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KISHAPU November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

    December 22, 2025
  • RC MHITA AWATAKA MADIWANI KISHAPU KUDUMISHA USHIRIKIANO NA MSHIKAMANO - NGUZO KUFANIKISHA MIPANGO YA MAENDELEO.

    December 19, 2025
  • DED JOHNSON ATOA MAELEKEZO MUHIMU KWA MADEREVA

    December 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WAMTEUA MWENYEKITI MPYA HALMASHAURI YA WILAYA KISHAPU

    December 03, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa