• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Machapisho
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • MATANGAZO
  • Madiwani

KATA NNE ZA NUFAIKA NA MADAWATI KUTOKA WORLD VISION

Posted on: November 2nd, 2022

Shirika la world Vision limekabidhi Madawati 860 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu


Akikabidhi Madawati hayo Mratibu wa World Vision Wilaya ya Kishapu Bw. Yohana Masanja leo Tarehe 02 Septemba 2022 mbele ya Madiwani wa kata ambazo zitanufaika na Madawati hayo 

Bw. Masanja amesema walipokea wito wa kusaidiana na Serikali kutatua Changamoto ya upungufu wa Madawati katika Wilaya ya Kishapu  


Kwa upande wake Kaimu Afisa Elimu Msingi Ndugu Baraka Mwijarubi amekili kupokea Madawati  860 kutoka katika Shirika la World Vision 

"Tumeshapokea Madawati 860 utoka World Vision ambayo kuanzia sasa yatasambazwa katika kata  Nne ili yaanze kutumika pia tunawakaribisha na Wadau wengine karibuni ambao wapo Tayali kushirikiana na sisi kutatua Changamoto hizi za Madawati" alisema


Aidha mwenyekiti wa kamati ya Elimu ambaye ni Diwani wa kata ya Talaga Mhe. Richard Dominick Amewashukuru sana World Vision kwa Mchango wao wa Madawati 860 ambayo yatapunguza kwa Kiasi kikubwa upungufu wa Madawati katika Shule za Misingi Pia alitumia furusa hiyo Kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazoendelea kuzifanya.

Picha ya Madiwani wakipokea Madawati 

Picha ya Madawati 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • RATIBA YA UFANYAJI MAZOEZI KWA KILA WIKI August 16, 2021
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • DC MKUDE ATEMBELEA MGODI WA MWADUI KUJIONEA HATUA ZILIZOCHUKULIWA BAADA YA BWAWA LA MAJI TOPE KUBOMOKA

    January 23, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI KISHAPU LAPITISHA MPANGO WA BAJETISH BILIONI 39.4 KWAAJILI YA MAENDELEO

    January 20, 2023
  • KISHAPU YAADHIMISHA MIAKA 59 YA MAPINDUZI ZANZIBAR KWA KUPANDA MITI

    January 12, 2023
  • BALOZI WA PAMBA NCHINI TANZANIA AWATAKA VIONGOZI KUSIMAMIA WAKULIMA WA ZAO LA PAMBA

    January 09, 2023
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu:

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa