• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Machapisho
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • MATANGAZO
  • Madiwani

KIKUNDI CHA UMOJA NI NGUVU CHA PONGEZWA KUMALIZA MKOPO WA HALMASHAURI.

Posted on: October 13th, 2023

Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Kishapu Ndugu. Abednego Madole amekipongeza Sana kikundi cha Umoja ni Nguvu kilicho Kijiji cha Beledi katika Kata ya Lagana kwa kufanikiwa kurejesha Mkopo wa  (4,300,000/=) Mkopo ambao walipatiwa na Halmashauri.

Pongezi hizo amezitoa leo Tarehe 13 Octoba 2023 katika Hafla fupi ya kukabidhi Ngo'mbe kwa Wanakikundi

"Hongereni Sana  wanakikundi kwa hatua mliyofikia mmekuwa mfano kwa Vikundi vingine  jambo la kumaliza kurejesha mkopo ni jambo kubwa Sana hii inaonyesha ni jinsi mlivyo na uwezo wa kujisimamia endeleeni kujisimamia vyema pamoja na kufata kanuni na Sheria mlizo jiwekea, Halmashauri ipo tayari kushirikiana na nyinyi kupitia ofisi ya Maendeleo ya jamii" alisema Madole

Awali akiwasilisha Taarifa kwa Mgeni Rasmi Katibu wa Kikundi cha Umoja ni Nguvu Bw. Nkuba Shija Masebo amesema kwamba kikundi kilianza na mtaji wa Shilingi 75,000/= baada ya Hapo walipata mkopo wa 4,300,000= kutoka Halmashauri  mkopo huu ulisaidi kununua mbuzi  42  na hadi sasa kikundi kina mbuzi 192, Asali mbichi Lita 50 pamoja na ngo'mbe 9 ambao kila mwana kikundi amegawiwa ngo'mbe mmoja mmoja.

Aidha kikundi kilifanikiwa kurejesha mkopo wote na kubakiwa na faida ya  800,000/=

Kwa upande wake Afisa Nyuki Bw, Revocatus Lucas Mboya amesema Kwamba jambo lilifanyika kwa kikundi ni jambo kubwa Sana na nimuhimu kwa vikundi vingine kuiga

"Jambo ambalo limefanyika Tayari ni Alam tosha, jambo la kujifunza katika kikundi hiki  ni nidhamu, kikundi hiki kina nidhamu kubwa pamoja na bidii katika uwajibikaji wa majukumu kwa sasa tayari mmeonyesha njia kwa wengine" alisema Mboya

"Pia kikundi hiki kinajishughulisha na ufugaji wa Nyuki na mimi kama Afisa Nyuki nitawepeni ushirikiano pamoja na kutafuta soko la uhakika kwaajili ya kuuza Asali." Aliongezea Mboya

Naye Mwenyekiti wa kijiji cha Beledi Ndugu. Dotto Izengo ameahidi kutoa ushirikiano kwa kikundi hicho muda wote wanapo hitaji msaada kutoka katika Serikali ya Kijiji pia amewapongeza za Sana na kubainisha faida za kila mwanakikundi ambazo wanazipata kwenye kikundi ni pamoja na kusaidia Familia zao kiuchumi, chakula na sare za shule n.k


Pia Ndugu. Madole alitumia furusa hiyo kuwahasisha wananchi waliofika eneo hilo kujiungu na Bima ya Afya CHF.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • RATIBA YA UFANYAJI MAZOEZI KWA KILA WIKI August 16, 2021
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • DC MKUDE AZINDUA UWEKAJI ALAMA KULINDA VYANZO VYA MAJI.

    November 13, 2023
  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA WAJIBU WAO

    October 17, 2023
  • KIKUNDI CHA UMOJA NI NGUVU CHA PONGEZWA KUMALIZA MKOPO WA HALMASHAURI.

    October 13, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA

    September 11, 2023
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu:

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa