• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Machapisho
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • MATANGAZO
  • Madiwani

MADIWANI KISHAPU WAIOMBA SERIKALI KUONGEZA USAMBAZAJI WA MBEGU ZA PAMBA

Posted on: November 2nd, 2022

MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Kishapu, wameiomba Serikali kuongeza usambazaji wa mbegu za Pamba kwa wakulima wilayani humo.  

Wamebainisha hayo leo Novemba 2, 2022 kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wilayani Kishapu.

Wamesema kumekuwepo na changamoto kubwa ya uchache wa mbegu za Pamba kwa wakulima wilayani humo, ambao umesababishwa na wadudu kula mbegu hizo mashambani.

"Tangu tuanze kupanda pamba kumekua na changamoto ya uchache wa mbegu unaosababishwa na kuanzishwa kwa mbinu mpya ya kupanda pamba kwa kuchimba mashimo ambapo wadudu wanakuja kula mbegu hizo mashambani na kusababisha upungufu wa mbegu kwa wakulima,” amesema Michael Paulo diwani wa Shangihilu.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kishapu Emmanuel Johnson, ameahidi kulifanyia kazi suala hilo la usambazaji wa mbegu za kutosha kwa wakulima, hali ambayo itaongeza uzalishaji na halmashauri kupata mapato mengi ya kutosha.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa wilaya ya Kishapu Shadrack Kengese, amewataka pia wananchi wilayani humo wajikite kwenye kilimo cha mazao ambayo yanastahimili ukame ili kuendana na mabadiliko ya tabia nchi.



Madiwani wa Halimashauri ya wilaya ya Kishapu wakiwa kwenye kikao cha baraza.

Baraza la madiwani wilayani Kishapu likiendelea.

Baraza la madiwani wilayani Kishapu likiendelea.

Baraza la madiwani likiendelea.










Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • RATIBA YA UFANYAJI MAZOEZI KWA KILA WIKI August 16, 2021
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • DC MKUDE ATEMBELEA MGODI WA MWADUI KUJIONEA HATUA ZILIZOCHUKULIWA BAADA YA BWAWA LA MAJI TOPE KUBOMOKA

    January 23, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI KISHAPU LAPITISHA MPANGO WA BAJETISH BILIONI 39.4 KWAAJILI YA MAENDELEO

    January 20, 2023
  • KISHAPU YAADHIMISHA MIAKA 59 YA MAPINDUZI ZANZIBAR KWA KUPANDA MITI

    January 12, 2023
  • BALOZI WA PAMBA NCHINI TANZANIA AWATAKA VIONGOZI KUSIMAMIA WAKULIMA WA ZAO LA PAMBA

    January 09, 2023
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu:

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa