• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Machapisho
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • MATANGAZO
  • Madiwani

MKUU WA WILAYA YA KISHAPU AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA SEKE- IDIDI

Posted on: March 22nd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mhe. Joseph Modest Mkude na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya wamefanya ziara ya kushitukiza katika kiwanda cha mataruma ya reli ya kisasa ya SGR, sehemu ya Mwanza-Isaka (KM 341) kinachojengwa Seke Ididi wilayani Kishapu.

Mhe. Mkude amesema lengo la ziara hiyo ni kufanya ukaguzi katika sehemu za kuhifadhia vifaa vya ujenzi pamoja na mafuta kutokana na matukio ya wizi ambayo yanaendelea katika mradi wa SGR.

“Tulikuwa tukipata ripoti za mara kwa mara juu ya matukio ya wizi wa vifaa vya ujenzi kama vile Saruji, nondo na mafuta kwa wingi sana, sasa tukaona tufatilie ili tubaini kama kuna mapungufu ili tuweze kushauri yarekebishwe,” alisema Mkude.

Pia Mhe. Mkude amekiri kuwepo kwa mapungufu makubwa kwenye baadhi ya maeneo ya stoo katika mradi wa ujenzi wa reli ya SGR ikiwemo kutokuelewana kwa lugha kati ya Wachina na vibarua.

Aidha, Mhe. Mkude ametoa wito kwa wananchi wote kuwa wazalendo kwa nchi yao na hasa katika utekelezaji wa miradi mikubwa kama hiyo pamoja na kutoa ushirikiano ili kubaini waharifu wanao hujumu miradi na kukwamisha kukamilika kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • RATIBA YA UFANYAJI MAZOEZI KWA KILA WIKI August 16, 2021
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KISHAPU WATAKIWA KUPAZA SAUTI KUHUSU MMONYOKO WA MAADILI

    May 15, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI LA MPONGEZA MKURUGENZI MTENDAJI KWA UKUSANYAJI MZURI WA MAPATO YA NDANI.

    May 10, 2023
  • WAZIRI JAFO APONGEZA MIRADI ILIYOTEKELEZWA

    May 06, 2023
  • RC MNDEME AMEAGIZA UJENZI WA BWAWA JIPYA LA MGODI WA ALMASI MWADUI LIJENGWE KWA KIWANGO BORA

    May 02, 2023
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu:

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa