• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Machapisho
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • MATANGAZO
  • Madiwani

SHUGHULI ZA UZALISHAJI KATIKA MGODI WA MWADUI ZA ZINDULIWA

Posted on: July 17th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amezindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa uchimbaji madini ya Almasi (Williamson Diamond Limited) uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga ikiwa ni takribani miezi nane tangu mgodi huo usitishe uzalishaji baada ya kingo za Bwawa la Maji Tope kubomoka.

Novemba 7,2022 Bwawa la tope la mgodini katika mgodi wa Mwadui lilipasuka na kuharibu makazi na mashamba ya wananchi wa vijiji vya Ng'wanholo na Nyenze vilivyopo katika Kata ya Mwadui Luhumbo wilayani Kishapu kwa kufunikwa na tope.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo leo Jumatatu Julai 17,2023 Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme ameupongeza Mgodi huo kwa kuchukua hatua mbalimbali baada ya kingo za Bwawa la Maji Tope kubomoka na kusababisha athari kwenye vijiji vinavyozunguka mgodi.

Uzinduzi huo umefanyika siku chache baada ya Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko kuagiza mgodi wa Williamson Diamond Limited uanze shughuli za Uzalishaji kuanzia Julai 15 baada ya kuridhishwa na hatua mbalimbali zilizochukuliwa.

“Nimezindua rasmi uzalishaji katika mgodi huu. Hongereni kwa hatua hii na kazi iendelee. Naomba shughuli za uzalishaji zifanyike kwa kasi(spidi nzuri) kwa viwango vinavyotakiwa ili tuweze kufidia muda tuliokuwa tumesimama, serikali ipate mapato, ajira ziendelee, halmashauri zipate mapato, miradi ya CSR iendelee na watu wote waliokuwa wanatoa huduma hapa mgodini waendelee na kazi”,amesema Mhe. Mndeme.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • RATIBA YA UFANYAJI MAZOEZI KWA KILA WIKI August 16, 2021
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA AJIRA

    September 11, 2023
  • MWENGE WA UHURU UMERIDHISHWA NA MIRADI KISHAPU.

    July 27, 2023
  • SHUGHULI ZA UZALISHAJI KATIKA MGODI WA MWADUI ZA ZINDULIWA

    July 17, 2023
  • WAZIRI WA MADINI DOTTO BITEKO ATEMBELEA MGODI WA ALMASI MWADUI

    June 30, 2023
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu:

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa