• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Machapisho
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • MATANGAZO
  • Madiwani

SHULE YA SEKONDARI BUSIYA YA PATA MSAADA WA SARUJI MIFUKO 140

Posted on: March 8th, 2023

Shirika lisilo la kiserikali linaloitwa ANNA SCHUBERT MACKEJA KUOJIE Foundation ASMK limetoa msaada wa Saruji na Magudulia 140 katika Shule ya Busiya Wilayani Kishapu yatakayotumiwa na wanafunzi kwa ajili ya kufuata na kuhifadhi maji

Shirika hilo limetoa magudulia hayo kwa lengo la kuwaondolea usumbufu wanafunzi kutoka na ndoo nyumbani kwa ajili ya kufuata maji kwenye vyanzo vinavyopatikana umbali mrefu kutoka katika eneo la shule.

Akizungumza katika hafla ya kukabidhi msaada huo,  Mratibu wa utemi wa Busiya Mzee Alfred Muyanga amesisitiza Walimu na wanafunzi kuyatunza magudulia hayo ambayo yatasaidia kuhifadhi maji hivyo kutoa fursa kwa wanafunzi kuhudhuria vipindi darasani.

Kwa upande wake Mkuu wa shule ya sekondari Busiya Mwalimu Badi Iddi Mfinanda amepongeza na kusema msaada huo utasaidia kupunguza changamoto zilizopo.

Nao baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Busiya wamelishukuru shirika la ASMK kwa kutoa msaada huo ambao utasaidia kupunguza changamoto zao.

Aidha afisa mtendaji wa kata ya Itilima akizungumza kwa niamba ya afisa elimu wa Halmasuri ya Wilaya ya Shinyanga, Renatus Malima amelipongeza na kulishukuru shirika la ASMK kwa kutuoa msada wa magudulia 140 na saruji katika shule ya sekondari Busiya ambapo amewaomba kuendelea na majitoleo hayo kwa lengo la kuisaidia serikali kutatua changamoto zilizopo.

ANNA SCHUBERT MACKEJA KUOJIE ASMK ni shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta za elimu na maji Wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga,ambalo  lipo chini ya himaya ya utemi wa Busiya wa Mtemi Edward kidaha Makwaiya.

Mbele upande wa kulia ni mratibu msaidizi wa utimi wa Busiya Bwana Nicholaus Luhende na upande wake wa kulia ni Mkuu wa Shule ya Sekondari Busiya ambapo nyuma ni viongozi wa shirika la ASMK wakitembelea mazingira ya shule hiyo.

Viongozi wa shirika la ASMK wakipewa kitabu cha kusaini wageni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • RATIBA YA UFANYAJI MAZOEZI KWA KILA WIKI August 16, 2021
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA YA KISHAPU AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA SEKE- IDIDI

    March 22, 2023
  • DC MKUDE ATOA MAELEKEZO ULIPAJI FIDIA WAHANGA WA TOPE LA MGODI WA MWADUI

    March 21, 2023
  • DC MKUDE AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAOFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA

    March 09, 2023
  • SHULE YA SEKONDARI BUSIYA YA PATA MSAADA WA SARUJI MIFUKO 140

    March 08, 2023
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu:

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa