• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

WATUMISHI KISHAPU WAPEWA MAFUNZO YA ELIMU YA FEDHA NA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

Posted on: November 20th, 2025

 Mwezeshaji kutoka kampuni ya Affluence Training Bw. Stafford Kwanama akizungumza kwenye mafunzo ya watumishi yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo, leo Novemba 20,2025.

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu wamepewa mafunzo ya elimu ya fedha na jinsi ya kukabiliana na changamoto za afya ya akili kutoka kwa waratibu wa elimu ya uwekezaji, mafunzo ya kitaalamu, na elimu sekta ya afya ya akili.

                                                                  Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu wakiwa kwenye mafunzo ya elimu ya fedha na kukabiliana na changamoto ya afya ya akili,kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo, leo Novemba 20,2025

 Akizungumza wakati wa mafunzo hayo leo Novemba 20,2025 yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo, Mwezeshaji wa mafunzo ya kitaalamu kutoka kampuni ya Affluence Training Bw. Stafford Kwanama, amesema watumishi wanatakiwa kuwa na maandalizi thabiti ya kustaafu wakiwa bado kazini ikiwa ni pamoja na kupanga malengo na mpango mkakati wa kujiwekea akiba binafsi ya fedha na kuiwekeza kwenye masoko ya hisa na mitaji, hati fungani za serikali na benki kuu au biashara tofauti.

“Ni jukumu la kila mmoja wetu sasa kuanza kujipanga vizuri ka kujiwekea mpango makakati wake kabla ya kustaafu ili kuwa na nidhamu ya fedha” Amesema

                                                                                                                             Mwezeshaji Bw. Kwanama akiendelea na mafunzo ya watumishi kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo, leo Novemba 20,2025

 Aidha, Bw. Kwanama ameeleza faida za kujiandaa kustaafu ukiwa na mapango mkakati kuwa ni kujijengea uwezo wa kujitegemea, kuimarisha afya ya mwili, akili na saikolojia, sambamba na uwekezaji wa mafao ya kustaafu kusaidia pia kizazi chake cha urithi kwa mstaafu.

                                                                                   Mwezeshaji kutoka Taasisi ya Serikali ya Uwekezaji ya U.T.T Bi. Magreth Tesha, akizungumza kwenye mafunzo ya watumishi uliofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo, Novemba 20,2025

Kwa upande wake, Mwezeshaji kutoka taasisi ya serikali ya uwekezaji ya U.T.T AMIS Bi. Magreth Tesha ameeleza umuhimu wa watumishi kuwekeza fedha zao kwenye mifuko mbalimbali inayoendeshwa na taasisi hiyo ili kupata faida, huku akibainisha mfuko wa hati fungani (Bond Fund) kuwa mfuko mahsusi kwa wastaafu ukiwa na gawio la kila mwezi.

                                                                                                            Mwezeshaji Bw. Pascal Kang’iria akizungumza na watumishi kwenye mafunzo  yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo, Novemba 20,2025

 Naye, Mwezeshaji mratibu wa afya ya akili kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Arusha Bw. Pascal Kang’iria  amewaelimisha watumishi hao juu ya uelewa wa afya ya akili na jinsi ya kukabiliana na changamoto zake pindi zinapojitokeza.

“Mtu mmoja kati ya watu wanne wanakabiliwa na changamoto ya akili na msongo wa Mawazo”. Amesema.

 Aidha Bw. Kang’iria ameeleza namna ya kukabiliana na mazingira mapya ili kuimarisha afya ya akili, sambamba na kuweza kumudu hisia bianfsi.

                                                                                                    Watumishi wakiendelea kusikiliza mafunzo hayo ya elimu ya fedha na kukabiliana na changamoto ya afya ya akili, kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo, Novemba 20,2025

Elimu ya fedha na uelewa wa afya ya akili ni nguzo muhimu kwa ustawi wa watumishi wa umma na sekta binafsi. Kupitia mafunzo haya, watumishi wanaweza kuepuka madeni yasiyo ya lazima na kujenga msingi imara wa maisha ya baadaye.



 



Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    November 21, 2025
  • WATUMISHI KISHAPU WAPEWA MAFUNZO YA ELIMU YA FEDHA NA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

    November 20, 2025
  • DC,DED NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA KISHAPU WAUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA

    October 29, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO KISHAPU WAONYWA KUTOKUWA CHANZO CHA MIGOGORO

    October 27, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa