• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

miradi inayotekelezwa

TAARIFA YA MIRADI YA MAENDELEO INAYOENDELEA KWA ROBO YA KWANZA KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.


1. JINA LA MRADI; Ujenzi wa shule mpya ya Awali na Msingi katika eneo la shule ya Sekondari Isoso.

      Mradi huu unatekelezwa kwa kiasi cha Tsh.342,900,000/=( Milioni mia tatu arobaini na mbili na laki tisa) kutoka BOOST. Mradi huo ikiwa ni ujenzi wa shule ya awali na msingi kwa maana ya vyumba viwili (2) vya   madarasa ya awali na matundu sita(6) ya vyoo, vyumba sita (6) vya madarasa ya msingi na matundu kumi(10) ya vyoo pamoja na jengo moja (1) la utawala na matundu mawili (2) ya vyoo.

                                                                                                        Kiambatanisho Na.1: Ujenzi wa vyumba sita(6) vya madarasa ya shule ya msingi.


Kiambatanisho Na.2: Ujenzi wa vyumba viwili (2) vya madarasa ya awali na vyoo matundu sita(6).


Kiambatanisho Na. 3:   Ujenzi wa jengo moja (1) la utawala na matundu mawili(2) ya vyoo.


         Kiambatanisho Na.4: Ujenzi wa matundu kumi(10) ya vyoo.

                                                                                                     

 

2. JINA LAMRADI; Ujenzi wa vyumba viwili (2) vya madarasa na matundu sita(6) ya vyoo, katika shule ya msingi Nhobola. Mradi huu unatekelezwa kutokana na fedha za BOOST kiasi cha Tsh. 66,200,000.00 (milioni sitini na sita na laki mbili).

Kiambatanisho Na 1: Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    November 21, 2025
  • WATUMISHI KISHAPU WAPEWA MAFUNZO YA ELIMU YA FEDHA NA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

    November 20, 2025
  • DC,DED NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA KISHAPU WAUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA

    October 29, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO KISHAPU WAONYWA KUTOKUWA CHANZO CHA MIGOGORO

    October 27, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa