• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
    • Ratiba ya vikao vya kisheria vya MSM
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

miradi inayotekelezwa

TAARIFA YA MIRADI YA MAENDELEO INAYOENDELEA KWA ROBO YA TATU KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.


1. JINA LA MRADI; UJENZI WA MADARASA 2 YA AWALI NA MATUNDU 6 YA CHOO, SHULE YA MSINGI ISOSO.

 Mradi huu unatekelezwa kwa thamani ya Tsh. 71,800,000/= kutoka chanzo cha fedha cha BOOST. Hali ya mradi mpaka sasa ni; boma la vyumba vya madarasa 2 limekamilika.Kwa upande wa matundu 6 ya vyoo,    shughuli zilizobaki ni uchimbaji wa shimo la choo,upauaji, ufungaji wa masinki na kujenga mahali pa kusimamishia matenki ya kuvunia maji.

Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa Shule ya Msingi Isoso


2. JINA LA MRADI; UJENZI WA VYUMBA 6 VYA MADARASA, JENGO LA UTAWALA,MATUNDU 12 YA CHOO,VYUMBA 2 VYA MADARASA NA MATUNDU 6 YA CHOO SHULE YA SEKONDARI ISOSO.

Mradi huu unatekelezwa kwa thamani ya Tsh. 342,900,000/= unaofadhiliwa na serikali kuu kupitia ufadhili wa BOOST.Hadi kufikia mwezi Januari,2026 miundombinu iko katika hatua ya ukamilishaji, na matundu mawili ya vyoo vya walimu ambavyo viko katika htua ya ujenzi wa boma. Mradi umefikia 75% ya utekelezaji.

Baadhi ya vyumba vya madarasa Shule ya Msingi Isoso

Jengo la Utawala Shule ya Msingi Isoso


3.JINA LA MRADI; UJENZI WA KITUO CHA AFYA LAGANA (JENGO LA OPD NA MAABARA).

 Mradi huu unatekelezwa kwa thamani ya Tsh. 250,000,000/= kutoka serikali kuu. Ujenzi wa mradi ulianza kutekelezwa rasmi tarehe 29/10/2025.Mpaka sasa maboma yamekamilika kwa upande wa jengo la OPD na maabara, sawa na 40% ya utekelezaji.

Mwonekano wa ujenzi wa Boma la OPD katika kituo cha afya Lagana

Mwonekano wa ndani wa Jengo la OPD linalojengwa


4. JINA LA MRADI; UJENZI WA VYUMBA 2 VYA MADARASA NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI NHOBOLA.

  Mradi huu unatekelezwa kwa thamani ya Tsh. 66,200,000/= kutoka fedha za BOOST. Mradi upo katika hali ya ukamilishaji,kupiga plasta na ufungaji wa dali.


5.JINA LA MRADI; UJENZI WA VIZIMBA 200, SOKO LA MAGANZO

Mradi huu unatekelezwa kwa thamani ya Tsh. 260,000,000/= kupitia fedha za CSR kutoka mgodi wa Mwadui. Kufikia Januari, 2026, mradi uko katika hali ya umwagaji jamvi na usakafiaji.

   Ujenzi wa vizimba 200 katika soko la Maganzo.


6.JINA LA MRADI; UJENZI WA MATUNDU 5 YA CHOO,SOKO LA MAGANZO.

Mradi unatekelezwa kwa thamani ya Tsh.20,000,000/= kupitia fedha za CSR kutoka mgodi wa Mwadui.Mradi uko katika hali ya ukamilishaji kwa 95%

Ujenzi wa matunudu 5 ya choo soko la Maganzo


7.JINA LA MRADI; UJENZI WA OFISI YA KIJIJI CHA SONGWA

Mradi unatekelezwa kwa thamani ya Tsh. 47,000,000/= kupitia fedha za CSR kutoka mgodi wa Mwadui.Mradi upo katika hali ya upauaji.

 Ujenzi wa ofisi kijiji cha Songwa

8.JINA LA MRADI; UJENZI WA VYUMBA 2 VYA MADARASA, SHULE YA MSINGI BUCHAMBI.

Mradi huu unatekelezwa kwa thamani ya Tsh. 48,000,000/= kupitia fedha za CSR, ambapo kuna vyumba 2 vya madarasa na  matundu 5 vya choo. Mradi upo katika hali ya upigaji plasta.

 Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Buchambi

9.JINA LA MRADI; UJENZI WA ZAHANATI YA SEKE IDIDI.

Mradi huu unatekelezwa kwa thamani ya Tsh. 101,989,971/=, ambapo kuna jengo la OPD na jengo la wazazi, kichomea taka na matundu 5 ya choo. Mradi upo katika hali ya upauaji na upigaji ripu.

Ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Seke Ididi




.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA February 16, 2026
  • TANGAZO LA MWALIKO WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI January 20, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI December 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • CP. HAMDUNI AZINDUA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KISHAPU, BEI YA CHOROKO YAPAA

    March 03, 2026
  • KILELE CHA TAMASHA LA AMANI NA MAENDELEO KISHAPU CHAFANA, MHE. MAYENGA ATOA WITO WA MSHIKAMANO

    February 28, 2026
  • DC MASINDI AZINDUA BIMA YA AFYA KWA WOTE KISHAPU

    February 27, 2026
  • MWENYEKITI KISHAPU ARIDHISHWA NA HUDUMA ZA AFYA

    February 19, 2026
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa