• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

HALMASHAURI YA WILAYA YA KISHAPU YAPOKEA VIFAA VYA RUZUKU VYA UTAMBUZI NA CHANJO YA MIFUGO

Posted on: June 17th, 2025


Mwakilishi wa Mkurugenzi mtendaji,Afisa mtendaji,Afisa wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Geofrey Magembe(kulia) akipokea vifaa vya utambuzi na chanjo za mifugo kutoka kampuni ya uzalishaji na usambazaji vifaa na chanjo za mifugo S&J nchini Tanzania Samweli Raulent

Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga imepokea maboksi ya heleni na chanjo za mifugo kwa awamu ya kwanza Juni 17,2025 kutoka kwenye kampuni ya wazalishaji na wasambazaji wa vifaa vya utambuzi na chanjo ya mifugo S&J.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji,Afisa Mifugo wa Halmashauri hiyo Geofrey Magembe amesema wamepokea chanjo na heleni za Ng'ombe 30,000 na heleni za Mbuzi na Kondoo 30,000  kwa ajili ya utambuzi wa mifugo Wilayani humo.

"Ni mpango wa serikali ya Awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassani kuhakikisha inatokomeza magonjwa ya mifugo na ndio maana Leo hii Halmashauri tayari tumepokea  chanjo ya Ng'ombe,Mbuzi, Kondoo na kuku wa kienyeji" Amesema Magembe

Geofrey ameongeza kuwa heleni hizo zitaisaidia Wizara na serikali kwa ujumla kupata kanzidata halisi ya mifugo iliyoko nchini na kila Wilaya itakuwa na kanzidata sahihi.

"Mfumo huu wa utambuzi kidigitali utakaotumia heleni za kielektroniki utapunguza wizi wa mifugo, utawawezesha wafugaji kupata bima na mikopo na Serikali kufanya tafiti mbalimbali za mifugo na kuweka miundombinu ya ufugaji inayoendana na idadi sahihi ya mifugo iliyopo" ameongeza Magembe

Ametoa wito kwa wafugaji pindi zoezi hilo la ugawaji litakapoanza baada ya kupokea mwongozo kutoka serikalini kujitokeza kwa wingi kupokea vifaa hivyo vya ruzuku.

Msambazaji kutoka kampuni ya S&J ambao ni wazalishaji na wasambazaji Samwel Raulent  amesema wamekabidhi vifaa hivyo kwa mujubu wa mwongozo wa Wizara katika zoezi zima la utambuzi na bado wanaendelea na uzalishaji na usambazaji zaidi kadri ya maelekezo ya wizara.

Ikumbukwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan alizindua chanzo na heleni za mifugo Juni 16,2025 kwa fedha za ruzuku Shilingi Bil.216 katika viwanja vya Nyakabindi Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu ikujumuisha vishikwambi 4500 vyenye thamani ya Tsh.Bilion 2.7 vitakavyotolewa kwa maafisa mifugo nchini kote kwa ajili ya kuskani misimbo iliyopo kwenye heleni hizo.

Vifaa vya utambuzi wa mifugo Heleni za kielektroniki vilivyopokelewa na Halamashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga kutoka kampuni ya uzalishaji na usambazaji vifaa na chanjo za mifugo S&J Juni 17,2025

Kupitia kampeni hiyo Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe.Dkt Ashatu Kijaju amemsema chanjo hiyo itatibu magonjwa 5 homa ya mapafu(Ng'ombe),Sotoka(Mbuzi na Kondoo) na Kideri/Mdondo,Ndui na Mafua ya Kuku kwa upande wa kuku za kienyeji huku wakitaraji kuzalisha ajira za muda mfupi 3540 zikihusisha wataalam wa afya ya Mifugo waliopo nje ya mfumo rasmi wa ajira

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JOHNSON AWATAKIA MTIHANI MWEMA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA

    September 09, 2025
  • DED JOHNSON ATAKA USHIRIKIANO KUINUA ELIMU SHULE YA MSINGI NG'WANIMA

    September 04, 2025
  • TIP YAFANYA MAFUNZO REJEA DHIDI YA UKATILI KISHAPU

    September 03, 2025
  • DC MASINDI AWATAKA WAGOMBEA KUTUMIA LUGHA YA STAHA JUKWAANI AHITIMISHA ZIARA

    August 27, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa