• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
    • Ratiba ya vikao vya kisheria vya MSM
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

DED KISHAPU AKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KUWAWEZESHA WAALIMU WENYE CHANGAMOTO YA UONI

Posted on: January 28th, 2026

Mwakilishi wa Mkurugenzi  mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Afisa Elimu Sekondari, David Mashauri akikabidhi vifaa hivyo Januari 27,2025 

Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imekabidhi vifaa vya TEHAMA kwa waalimu wenye changamoto ya uoni wanaofundisha katika Shule ya Sekondari Shinyanga, hatua inayolenga kuwawezesha kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na kuongeza ubora wa utoaji elimu.


Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, Afisa Elimu Sekondari, David Mashauri, amewataka walimu waliopokea vifaa hivyo kuvitunza na kuvitumia kwa malengo yaliyokusudiwa ili viweze kuleta tija katika kuboresha mazingira ya kazi na utoaji wa elimu jumuishi.



Amesema Halmashauri itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha walimu wote, hususan wenye mahitaji maalum, wanapatiwa mazingira rafiki yatakayowawezesha kutimiza wajibu wao kwa ufanisi na kuleta matokeo chanya kwa wanafunzi.


Vifaa vilivyokabidhiwa ni pamoja na laptop, iPad pamoja na kinasa sauti ambavyo vitawasaidia waalimu hao katika maandalizi ya masomo, ufundishaji na utekelezaji wa majukumu mengine ya kitaaluma kwa urahisi zaidi.


Kwa upande wao, walimu waliopokea vifaa hivyo wameishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu kwa msaada huo. Akizungumza kwa niaba yao, Mwl. Josia Nkinga, amesema vifaa hivyo vitawapunguzia utegemezi kwa kiasi kikubwa, hali itakayowawezesha kutekeleza majukumu yao kwa haraka, ufanisi na uhuru zaidi.

Mwakilishi wa Walimu kutoka Shule ya Sekondari Shinyanga waliopokea vifaa hivyo Mwl. Josia Nkinga akizungumza kwa niaba ya wenzake

Ameongeza kuwa hatua hiyo ni chachu muhimu katika kukuza elimu jumuishi na kuwapa motisha walimu wenye changamoto ya uoni kuendelea kufanya kazi kwa bidii na weledi.


Matangazo

  • TANGAZO LA MWALIKO WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI January 20, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI December 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 21 MAKUNDI MAALUMU VYAPATIWA MIKOPO KISHAPU

    January 29, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI KISHAPU LAAZIMIA SOKO HURIA LA PAMBA, LATOA MSISITIZO WA LISHE NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 28, 2026
  • DED KISHAPU AKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KUWAWEZESHA WAALIMU WENYE CHANGAMOTO YA UONI

    January 28, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI KISHAPU LAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA ZA KATA ROBO YA PILI 2025/2026

    January 27, 2026
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa