• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

Ufugaji Nyuki

Kitengo cha Ufugaji Nyuki kina jukumu la kusimamia na kuhakikisha mazao ya nyuki yanazalishwa kwa tija na kuwa njia mbadala ya kuongeza kipato na kukuza uchumi kwa wananchi baada ya shughuli zitokanazo na kilimo.

Ufugaji Nyuki ulikuwa ukifanyika kwa baadhi ya kaya kwa sababu maalumu na warina asali walikuwa na taratibu za kutafuta asali katika mapango na misitu ambako makundi ya nyuki yalipatikana kwa urahisi.

Ufinyu wa ardhi, kupanuka kwa shughuli za kilimo na makazi kulichangia kuhamisha na kupunguza mtawanyiko sawia wa makundi ya nyuki katika maeneo mbalimbali wilayani. Changamoto hii na umuhimu wa mazao ya Nyuki imepelekea kitengo cha ufugaji Nyuki kwa kushirikiana na wadau wengine kuhamasisha ufugaji na hasa kwa kutumia mbinu ya inayosisitiza ufugaji wa makundi mengi katika eneo dogo ili kukabiliana na changamoto ya ufinyu wa ardhi.

Kuhamasisha wananchi juu ya Ufugaji wa kisasa wa Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa, ufugaji wa nyuki kwa kutumia teknologia ya Nyumba (Bee house Technology) na uundwaji wa vikundi vya ufugaji nyuki.

Hadi sasa kuna vikundi na watu binafsi wapatao 61 wanaojishughulisha na Ufugaji wa nyuki, kati ya hao kuna vikundi 10 na watu binafsi 11 ambao tayari wana mizinga na maeneo ya kufugia. Idadi ya mizinga iliyopo kwa sasa ni mizinga 755 katika maeneo mbalimbali ya Wilaya.

vikundi na watu binafsi wanaojishughulisha na ufugaji wa nyuki wameweza kuvuna jumla ya kilo 1174 yenye thamani ya Tshs 11,740,000/= kwa bei ya Tshs 10,000 kwa kilo moja ya asali.

Wilaya kwa kushirikiana na wadau wa Mazingira na Ufugaji nyuki imefanikiwa kuhamasisha ufugaji wa Nyuki kwa kutumia teknologia ya nyumba katika Vijjiji vya Mwamashele, Inolelo, Miyuguyu, Nyasamba na Mipa. Mpaka sasa kuna Nyumba mbili (Bee house) za kufugia nyuki ambazo zimeanzishwa katika kijiji cha Mipa eneo la Mission yenye mizinga 100 ambayo imefadhiliwa na TaFF (Tanzania Forest Fund) na manzuki ya mfano katika kijiji cha Mwamashele yenye mizinga 4 ambayo imetolewa na Halmashauri ya Wilaya.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • DC KISHAPU AWATAKA WANANCHI KUTUMIA KWA TIJA MBEGU ZILIZOBARIKIWA BUSIYA

    July 08, 2025
  • KISHAPU YAGAWA CHANJO 300,000 YA KUKU WA KIENYEJI

    July 01, 2025
  • VIJIJI 16 VINAVYOZUNGUKA MIGODI KISHAPU MIGOGORO YA ARDHI KUKOMESHWA

    June 27, 2025
  • TAKUKURU YAZINDUA JENGO JIPYA KISHAPU, LAWAPA WANANCHI IMANI NA UJASIRI KUPINGA RUSHWA

    June 26, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa