• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

KATIBU TAWALA CP. HAMDUNI ASIKILIZA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WA UMMA NA TAASISI KISHAPU.

Posted on: May 12th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, CP. Salum Hamduni, amefanya ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga kwa lengo la kusikiliza changamoto zinazowakabili watumishi wa umma pamoja na wakuu wa taasisi mbalimbali.

Katibu Tawala Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Fatma Mohamed. 

Katika kikao hicho kilichofanyika Mei 7,2025 katika ukumbi wa Halmashauri  hiyo watumishi waliwasilisha changamoto mbalimbali zinazowakabili katika utekelezaji wa majukumu yao ya kazi kila siku pamoja na uhitaji wa mafunzo kazini.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Emmanuel Johnson.

Cp. Hamduni ametoa utatuzi wa baadhi ya changamoto na kuahidi kushughulikia changamoto zingine kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi mbalimbali.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kishapu, Bw. Emmanuel Johnson, amempongeza Katibu Tawala licha ya kuwa na kazi nyingi za kiutendaji na bado ametenga muda wake kuja kusikiliza changamoto za watumishi.

"Umekuwa kiongozi Bora na mfano mzuri ambao na sisi tunapaswa kujifunza,  umeonesha dhamira ya dhati ya kuboresha utendaji kazi na utoaji huduma kwa wananchi,” amesema Bw. Johnson.

Ziara hiyo ni sehemu ya mikakati ya ufuatiliaji na usimamizi wa utendaji kazi wa watumishi wa umma katika Mkoa wa Shinyanga.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI December 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWATAKA MADIWANI KISHAPU KUDUMISHA USHIRIKIANO NA MSHIKAMANO - NGUZO KUFANIKISHA MIPANGO YA MAENDELEO.

    December 19, 2025
  • DED JOHNSON ATOA MAELEKEZO MUHIMU KWA MADEREVA

    December 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WAMTEUA MWENYEKITI MPYA HALMASHAURI YA WILAYA KISHAPU

    December 03, 2025
  • WATUMISHI KISHAPU WAPEWA MAFUNZO YA ELIMU YA FEDHA NA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

    November 20, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa