• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

MAAFISA MIFUGO KISHAPU WAKABIDHIWA VISHKWAMBI

Posted on: September 26th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Peter Masindi akikabidhi kishwambi kwa Afisa Mifugo wa Kata ya Uchunga.

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga, Mhe. Peter Masindi, amekabidhi vishkwambi 40 kwa maafisa mifugo Wilayani humo ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya kitaifa ya chanjo na utambuzi wa mifugo.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika katika Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Septemba 26, 2025, Mhe. Masindi amewapongeza maafisa mifugo kwa kupokea vitendea kazi hivyo vya kidijitali, akisisitiza umuhimu wa matumizi sahihi ya vifaa hivyo katika ukusanyaji wa takwimu za mifugo.

“Serikali ya awamu ya sita inatambua mchango wenu na imewapatia vishkwambi hivi ili muweze kusaidia katika upatikanaji wa taarifa sahihi. Takwimu hizi ni msingi wa kupanga bajeti na mipango ya utoaji wa huduma kama vile dawa za mifugo hivyo, hakuna haja ya kuficha wala kuzembea kutoa taarifa” amesema Mhe. Masindi.

Ameongeza kuwa kupatiwa vitendea kazi ni ishara ya heshima na dhamana, hivyo ni wajibu wa kila Afisa kuhakikisha vifaa hivyo vinatunzwa na kutumika kwa ufanisi na kwa kazi iliyokusudiwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu akizungumza na Maafisa Mifugo wakati wa makabidhiano ya vishkwambi

Kwa upande wake, Mratibu wa chanjo na utambuzi wa mifugo Wilayani humo, John Mchele, ameeleza kuwa vishkwambi vinavyotolewa vitatumika kusajili mifugo ikiwemo ng’ombe, mbuzi na kondoo, ikiwa ni muendelezo wa juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya mifugo.

Mratibu wa chanjo na utambuzi wa mifugo Wilaya ya Kishapu, John Mchele akielezea dhumuni la kukabidhi vishkwambi kwa Maafisa Mifugo

Afisa Mifugo kutoka Kata ya Talaga, Juhudi Mwaluanda Anangisye ametoa shukrani kwa serikali na kuahidi kutumia kifaa chake kwa malengo yaliyokusudiwa.

“Zamani tulikuwa tunatumia makaratasi, lakini sasa tunaenda kidijitali. Tunaahidi kuvitumia kwa usahihi ili kuboresha ustawi wa mifugo katika Wilaya ya Kishapu,” amesema Anangisye.

Afisa Mifugo wa Kata ya Talaga, Juhudi Mwaluanda Anangisye

Hatua hii inaashiria mwendelezo wa jitihada za serikali katika kuimarisha mifumo ya usimamizi wa mifugo kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    November 21, 2025
  • WATUMISHI KISHAPU WAPEWA MAFUNZO YA ELIMU YA FEDHA NA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI

    November 20, 2025
  • DC,DED NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA KISHAPU WAUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA

    October 29, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO KISHAPU WAONYWA KUTOKUWA CHANZO CHA MIGOGORO

    October 27, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa