• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA YAHITIMISHWA JIMBO LA KISHAPU

Posted on: August 6th, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga, Bw. Joseph Sahani Swalala akizungumza wakati wa ufungaji wa mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata Agosti 6,2025 katika Ukumbi wa Mwadui

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Bw. Joseph Sahani Swalala, amewataka wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata kuhakikisha wanazingatia maadili, uadilifu, na uwajibikaji mkubwa wakati wa kutekeleza majukumu yao katika kipindi chote cha uchaguzi.

Bw. Swalala ametoa wito huo leo Agosti 6, 2025, wakati akihitimisha mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi hao, yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwadui wilayani Kishapu. Amesema kuwa nafasi waliyopewa si ya kawaida bali ni dhamana kubwa ya kitaifa, hivyo wanapaswa kufanya kazi kwa uaminifu, uadilifu na kuzingatia misingi ya sheria, kanuni, na taratibu zinazosimamia uchaguzi.

"Ninyi sasa ni sehemu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi, dhamana mliyokabidhiwa ni kubwa. Msikubali kushawishika au kuingiliwa na mtu yeyote katika utekelezaji wa majukumu yenu fanyeni kazi kwa haki, usawa na kwa mujibu wa mafunzo haya," amesema Swalala.

Aidha, amewataka kuhakikisha kuwa wanatumia ujuzi walioupata kwa makini na kuwa kielelezo chema katika maeneo yao, akisisitiza kuwa uchaguzi ni mchakato nyeti unaohitaji usimamizi makini ili kudumisha amani na demokrasia nchini.
"Tumepewa jukumu hili kwa niaba ya wananchi na nchi Kwa hiyo hatuna budi kulitumikia kwa moyo wa uzalendo na kujituma, maadili ya kazi ya uchaguzi ni jambo lisilopaswa kupuuzwa hata kidogo," ameongeza.


Mafunzo yamelenga kuwaandaa wasimamizi wasaidizi kuelekea uchaguzi mkuu wa serikali za mitaa, yakijikita katika maeneo muhimu kama sheria za uchaguzi, maadili ya watendaji, taratibu za upigaji kura na namna ya kushughulikia changamoto katika vituo vya kupigia kura.
Mafunzo hayo yalihudhuriwa na wasimamizi kutoka kata zote za Wilaya ya Kishapu, huku washiriki wakionesha hamasa kubwa na utayari wa kutekeleza majukumu yao kwa weledi na ufanisi.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • JOHNSON AHAMASISHA MAPINDUZI KUWALINDA WANAWAKE NA WATOTO KISHAPU

    August 15, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE CHAMA CHA MAKINI JIMBO LA KISHAPU ACHUKUA FOMU

    August 14, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WALIDHISHWA NA MIRADI YOTE KISHAPU

    August 08, 2025
  • KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA UNYONYESHAJI KISHAPU YAFANYIKA SHAGIHILU

    August 07, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa