• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

RC MHITA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KISHAPU

Posted on: July 22nd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mohamed Mhita amefanya ziara ya kikazi  Wilayani Kishapu Mkoani humo kwa lengo la kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe Peter Masindi (kulia)akimkaribisha Mkuu wa Mkoa  huo Mhe.Mboni Mohamed Mhita kwenye ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji miradi mbalimbali ya maendeleo na kuzungumza na watumishi wa umma na wakuu wa taasisi na sekta Julai 22,2025

Katika ziara hiyo, Mhe. Mhita ametembelea miradi kadhaa inayotekelezwa kwa fedha za Serikali Kuu,wadau wa maendeleo na mapato ya ndani ikiwa ni sehemu ya tathmini ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo sambamba na kujionea namna fedha za umma zinavyotumika. 

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mohamed Mhita akizungumza na watumishi baadhi wa Wilaya ya Kishapu katika ziara yake ya kikazi Julai 22,2015 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo. 

Miradi aliyotembelea ni pamoja na Elimu,Afya,Maji na Barabara.

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe Peter Masindi 

Baada ya ukaguzi miradi, Mhe. Mhita amezungumza na watumishi wa Halmashauri ya Kishapu ambapo amewataka kufanya kazi kwa bidii, weledi na kwa uadilifu mkubwaa huku akisisitiza kuwa mtumishi wa umma ni kioo cha Serikali kwa wananchi, hivyo ni wajibu wao kusikiliza na kushughulikia kero za wananchi kwa wakati badala ya kusubiri malalamiko yafike ngazi za juu.

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe Peter Masindi (kushoto) na Katibu Tawala Wilayani humo Bi.Fatma Mohamed(kulia)

“Hatutaki kusikia mwananchi anakaa miezi kadhaa bila kupatiwa huduma kwa sababu ya uzembe wa mtumishi kuweni  wasikivu, fanyeni kazi zenu kwa moyo wa kujituma na kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni,” a mesema Mhe. Mhita.

"Nimejionea Mkuu wa Wilaya rafiki yangu Masindi na Mkurugenzi wangu Johnson hakika mnafanya kazi kubwa na hii ndio furaha ya Rais wetu Mhe.Samia Suluhu Hassan endeleeni kufanya kazi kwa ajili ya Watanzania" amesema Mhita 

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga BW. Emmanuel Johnson 

Ametoa maagizo kwa Halmashauri hiyo kuhakikisha inaweka mikakati thabiti ya kuongeza mapato ya ndani kwa njia rafiki na kushirikiana na wafanyabiashara na wadau wengine ili kuongeza mapato yatakayosaidia utekelezaji wa miradi ya maendeleo bila kutegemea zaidi rasilimali kutoka Serikali Kuu.

“Tunataka mabadiliko yanayoonekana Kishapu iwe mfano wa namna bora ya ukusanyaji wa mapato kwa njia rafiki na jumuishi huku mkiibua vyanzo vipya vya mapato kwani huu ni mkoa wenye fursa nyingi, tuzitumie vizuri kwa maendeleo ya watu wetu,” ameongeza.

Mhe. Mhita pia ameahidi kuwa ofisi yake itaendelea kushirikiana na Halmashaur ya Kishapu ili kuhakikisha utekelezaji wa miradi ya kimkakati na ile ya maendeleo inakamilika kwa wakati ili iweze kuwanufaisha wananchi wakiwa ndio walengwa.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • MCHAKATO WAANZA UJENZI DAMPO LA KISASA KISHAPU KUIMARISHA USAFI WA MAZINGIRA

    July 26, 2025
  • RC MHITA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KISHAPU

    July 22, 2025
  • WANANCHI 1,200 VIJIJI VYA MFANO KISHAPU WAPEWA HATI MILKI ZA KIMILA

    July 23, 2025
  • LISHE BORA YAPAA SHULENI KISHAPU

    July 16, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa